Hivi Kenya hakuna polisi , mbona wapinzani hawapigwi mabomu ?

sawa sasa tunaomba taarifa ya utafiti wa hayo uliyoyataja.
Mimi nasema.
1. Kenya imekithiri kwa ukabila
2. inaongoza kwa rushwa Afrika Mashariki.
ukitaka source nitakupa
 
Hizi takwimu unazifahamu?

Mpaka September 24, 2017 juml ya watu 143 walikuwa wameuawa na polisi nchini kenya.

DEADLY FORCE DATABASE



Una taarifa kuwa kenya ni nchi ya tatu duniani kwa polisi kuua raia, ikitanguliwa na USA na South Africa?

Kenya’s shameful record in global police killings
 
Hao wote 143 ni wanasiasa wa upinzani ? , halafu kingine ni hiki , kuweka rekodi ya wanaokufa ama kuuawa na polisi ni jambo la uwazi zaidi , lakini ni nani anazo takwimu za maelfu ya binadamu wanaookotwa Bahari ya Tanzania kila siku ?
 
Hao wote 143 ni wanasiasa wa upinzani ? , halafu kingine ni hiki , kuweka rekodi ya wanaokufa ama kuuawa na polisi ni jambo la uwazi zaidi , lakini ni nani anazo takwimu za maelfu ya binadamu wanaookotwa Bahari ya Tanzania kila siku ?
Post yako ya awali haionyeshi kuwa watu wote waliouhusika na maandamano ni watu wa upinzani! Hivyo nami sikuona haja na pengine haipo haja ya kuwatofautisha watu waliokufa kama wapinzani au wasio wapinzani, wanasiasa au wasio wanasiasa!

Unasema rekodi za watu wanaookotwa baharini kama zinapatikana, jibu ni ndiyo!

Labda useme unataka waliookotwa wamekufa kifo cha namna gani, maana sio kweli kuwa wale wote wanaookotwa baharini/kwenye maji basi wamekufa maji!
 
wapinzani wa kenya wanajielewa sio wa hapa bongo
 
Wewe bado sana .
 
Wenzenu tulimwaga damu na hawa mnaowasifu tuliwapeleka ICC the hague ndio maana leo wanaheshimu Raia na sheria za nchi. Nyie endeleeni kusbiri huruma za wasiojua umuhimu wa Amani siku wakijisikia watawapeni haki.
acha upuuuzi wewe amani ndo kila kitu wewe vita isikie kwa wenzio
 
Hao wote 143 ni wanasiasa wa upinzani ? , halafu kingine ni hiki , kuweka rekodi ya wanaokufa ama kuuawa na polisi ni jambo la uwazi zaidi , lakini ni nani anazo takwimu za maelfu ya binadamu wanaookotwa Bahari ya Tanzania kila siku ?
ni sawa na kusema upinzan wa Kenya wanajielewa kuliko bongo
 
Hivi Kenya hakuna upinzani? Mbona hawapingi kila inachofanya serikali na hata hawamtukani na kumdhalilisha rais?
 
muwe mnaweka akiba ya maneno leo ukiambia uje hapa ushikilie msimamo wako sidhani kama utasimamia hata robo ya ulivyosema jana,utabaki kulamba matapishi tuu. siku zote tunawaambia acheni kujifariji na vitu vidogovidogo vya nchi nyingine wao wanamambo yao ambayo sisi hatuyafahamu kiundani,tudeal na yetu,siasa zetu hayo yao tubaki kuwa watazamaji tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…