Hivi Kenya hakuna polisi , mbona wapinzani hawapigwi mabomu ?

huu Uzi bado upo bado. kipindi cha uchaguzi wa kwanza ulikuwa valid. lkn kwenye uchaguzi wa marudio hali ilikuwa tete. naomba uufute tu.

CC:
Erythrocyte
 
  • Kenyan police killed at least 33 people, possibly as many as 50 August 8, 2017 elections, Amnesty International and Human Rights Watch said
  • Another 17 were alleged killed, most of them in Kawangware..
  • Taken together with the 17 others allegedly killed by police, the nationwide death toll could be as high as 67.

Kenya: Police Killed, Beat Post-Election Protesters
 
Linganisha na idadi ya wanaookotwa kwenye viroba .
 
Sasa hilo swali lingine, ni kama mauaji ya kawaida Kenya, bado TZ ni salama zaidi, na ikiwezekana mauaji wakati wa uchaguzi yasiwepo..
Tunapoandika hatujiandikii tu kama kasuku , jifunue blanket halafu jiulize wanaopatikana kwenye viroba waliuawa wapi , halafu angalia wanaokufa kenya wanaokotwa wapi .
 
Tunapoandika hatujiandikii tu kama kasuku , jifunue blanket halafu jiulize wanaopatikana kwenye viroba waliuawa wapi , halafu angalia wanaokufa kenya wanaokotwa wapi .
Hili ndilo swali lako...

Hakika nchi ya Kenya ni daraja lingine kwa sasa , Yote yanayotokea lakini polisi wa nchi hiyo wameamua kufuata sheria kwa weledi wa kutukuka mno !
Hakuna kabisa uonevu ulioripotiwa wakati harakati za mahakamani zikiendelea , hakuna cha inteligensia wala maagizo kutoka juu , nchi imetulia na wananchi wamekuwa wamoja kuliko wakati wowote ule !

Mungu ibariki Kenya .
 
Hiv Msando,Rogo yuko wap vileee

Come on gaidi wa Tanzania anapelekwa mahakaman,kenya n mwendo wa kumalizana tu chuma chuma tu

Msando kapotezwa kama utan tu

Vp unauliza mabomu ilhal watu washachinjana sana tu

Wapinzan wanapelekwa exile

Au tunajitoa ufaham humu ndan

Africa watawala n watawala tu acheni shobo
 
Acha kuongelea vitu ambavyo hujui. Most of kenyans hawaamini polisi wao. Halafu hivi unakuwa unatumia upande gani wa ubongo wako kuandika "Mungu ibariki kenya" cos that is most unpatriotioc shit ve ever seen.
 
Waliokotwa kwenye viroba vya wapi ?
 
2007–08 Kenyan crisis By January 28, the death toll from the violence was at around 1,300. Up to 600,000 people have been displaced
 
Acha kuongelea vitu ambavyo hujui. Most of kenyans hawaamini polisi wao. Halafu hivi unakuwa unatumia upande gani wa ubongo wako kuandika "Mungu ibariki kenya" cos that is most unpatriotioc shit ve ever seen.
Unatumia mamlaka gani kunipa mkwara ? Kama uchaguzi wa Kinondoni tu mnaua mtaaminika kwa lipi ?
 
Tanzania police inatakiwa isimame kama muhimili unaojitegemea kama ilivyo mahakama
 
Acha kudanganya watu.

Katika mtiti wa uchaguzi mkuu Kenya watu wamepigwa sana huko Kisumu na kwingineko.

Soma

Na Kenya protests: 24 killed after President's re-election - CNN

Na je umesahau kuwa watu 5 waliuawa kwa risasi za polisi katika maandamano ya kumpokea Raila uwanja wa ndege wa Nairobi?? Au kwa kuwa ni Uhuru Kenyatta "kamanda" unajidai kiziwi na kipofu?

Habari iko kwenye hii link ya CNN
5 killed as Kenyan police and Odinga supporters clash in Nairobi - CNN

Unayo hoja lakini usitumie usipotoshe watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…