joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
[emoji38][emoji38][emoji38]kwamba ni ruksa kwenda nazo kwenye kota zao.Hahahaha leo nimesikia kuna polisi mmoja huko kenyani kampiga girlfriend wako teargas
[emoji38][emoji38][emoji38]kwamba ni ruksa kwenda nazo kwenye kota zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi ya kambale hio
In some countries no one can dare speak about police brutality to the media. One of those countries is our southern neighbor.
Jibu swali, bado Kenya inaongoza Africa katika police killings and brutality, hiyo freedom of expression ipo wapi kama mkiandamana mnapigwa na kuuliwa?Mna mambo nyie jamaa wa VPN. Hivi ni kweli kwamba eti hadi Jiwe naye anatumia VPN? [emoji1]
Mna mambo nyie jamaa wa VPN. Hivi ni kweli kwamba eti hadi Jiwe naye anatumia VPN? [emoji1]
Police brutality iko hata kwa zile nchi ambazo zinakisiwa kuwa na uhuru wa kujieleza wa kiwango cha just Kama: Marekani, Ufaransa, Australia etc!Jibu swali, bado Kenya inaongoza Africa katika police killings and brutality, hiyo freedom of expression ipo wapi kama mkiandamana mnapigwa na kuuliwa?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kama Marekani polisi wanaua watu hovyo, hiyo kwenu mnadhani ni sawa? Kwahiyo tukubali kwamba Kenya kuna uhuru wa kujieleza pomoja na kwamba Kenya ukijieleza unauliwa na polisi kwasababu tu Marekani pia polisi inaua watu?[emoji23][emoji23][emoji23]Police brutality iko hata kwa zile nchi ambazo zinakisiwa kuwa na uhuru wa kujieleza wa kiwango cha just Kama: marekani, ufaransa, Australia etc!..
Tuonyeshe watu waliojieleza wakauliwa.Kwahiyo kama Marekani polisi wanaua watu hovyo, hiyo kwenu mnadhani ni sawa?, kwahiyo tukubali kwamba Kenya kuna uhuru wa kujieleza pomoja na kwamba Kenya ukijieleza unauliwa na polisi kwasababu tu Marekani pia polisi inaua watu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kama Marekani polisi wanaua watu hovyo, hiyo kwenu mnadhani ni sawa?, kwahiyo tukubali kwamba Kenya kuna uhuru wa kujieleza pomoja na kwamba Kenya ukijieleza unauliwa na polisi kwasababu tu Marekani pia polisi inaua watu?.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile
Elewa vile unataka kuelewa. Bila shaka nwenye kung'amua mambo atajua ni kipi nilimaanisha!🤣🤣Kwahiyo kama Marekani polisi wanaua watu hovyo, hiyo kwenu mnadhani ni sawa?, kwahiyo tukubali kwamba Kenya kuna uhuru wa kujieleza pomoja na kwamba Kenya ukijieleza unauliwa na polisi kwasababu tu Marekani pia polisi inaua watu?.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Please can you tell us, how speaking about police brutality in media have improved your ranking in police brutality in Afrika list?