Hapa Tanzania ni mwaka wa tano sasa ajira za walimu hakuna lakini shule vijijini pia hakuna walimu na Serikali haijali walimu, pia madaktari hakuna ajira vilevile, yaani ndani ya miaka mitano wameajiliwa madaktari 1000 tu.
Je, na wenzetu Kenya hakuna ajira katika kada hizo kama Tanzania tu?
Je, na wenzetu Kenya hakuna ajira katika kada hizo kama Tanzania tu?