Achana na mambo yao tuendelee na yetu maana hata tozo zimetushinda..Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.
Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
mimi nina wasiwasi sana na jinsi Ruto na timu yake wanavyomtaja-taja MUNGU kila wakati.
Tozo kwa maendeleo,zimekuwhindaje?Achana na mambo yao tuendelee na yetu maana hata tozo zimetushinda..
Hakuwa anafanya hayo Kwa bahati mbaya,alikuwa anajenga base za kisiasa kwa ajili ya kugombea na imemlipa..
Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.
Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
Mkuu napo kwa marehemu Mzee Kenyata ni nchi ya Kikristo, nyie wavaa Kobazi kazi yenu ni kupiga makofi tu.Hakika umenitangulia kupost,mwenyewe apa nilifungua jukwaa ili niandike mawazo yangu lakini nimekutana na thread yako tayari.
Mbaya zaidi sherehe/hafla za kitaifa zinapambwa na taratibu za dini ya kikirsto pekee mf,siku ya kutangaza matokeo ya urais na Leo pia siku ya Kula kiapo huko ni kuligawa taifa.Muda so mrefu udini unaenda kulitafuna Hilo Taifa na pia rais mteule anaonekana wazi wazi kabisa kwamba atakua mdini wa kweli.
Tulia mvaa Dontachi na Kobazi, hamtakaa mtawale Kenya milele nyie wafia dini, bora msogee Somalia tu.Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.
Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
Watanya ni Kiswahili Cha wapi ?Kama ni hivyo basi alsha--baab watanya yao,
Hakuwa anafanya hayo Kwa bahati mbaya,alikuwa anajenga base za kisiasa kwa ajili ya kugombea na imemlipa..
Haitakiwi kuwa at individual level,tunataka kuona Nchi haiegemei kwenye dini moja.
Anashuhudia Imani yake kwa kualika kwaya nk kwenye public affair? Kwani yeye anaongoza waumini wa dini ya Kristo au Wakenya?Nchi kuegemea kwa dini moja ndio kusema nini? Rais Ruto ana Uhuru wa kuabudu na kushuhudia imani yake. Hakuna mwislamu aliyekatazwa kuabudu jinsi anavyopenda. Hakuna anayelazimishwa kujificha kula wakati wakristo wanfunga. Hakuna anayechomwa na moto kwasababu ya imani yake, tatizo liko wapi?
MajangaTulia mvaa Dontachi na Kobazi, hamtakaa mtawale Kenya milele nyie wafia dini, bora msogee Somalia tu.
Zanzibar sio Nchi.Kwani Zanzibar ni nchi ya dini ya kikristo?
Choir ilkuwa ya kutumbuiza watu. Ikiwa ujumbe wa choir haukukufurahisha, sio lazima ukufurahishe. Hata Diamond angekuja, bado kuna watu hawangefurahishwa na huo ujumbe. Hata maroon comandos wangeimba Charonyi Ni Wasi, kuna wale ambao bado wangekwazika kwa kuwa wimbo huo ni wa "kikabila." huwezi kumfurahisha kila mtuAnashuhudia Imani yake kwa kualika kwaya nk kwenye public affair? Kwani yeye anaongoza waumini wa dini ya Kristo au Wakenya?
Viongozi wa Kenya especially Ruto ni mpumbavu sanaHilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.
Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
Kua 15% ndio tiketi ya kua marginalized?Hii in tofauti na Zanzibar?
Waislamu Kenya ni minority Kama 15%,hilo la kugawanya nchi haliwezi kutokea mkuu
Scientific reasoning ni ya wewe na watu wenyu.Kua 15% ndio tiketi ya kua marginalized?
Hivi unawezaje kuongoza nchi kwa kutumia dini kwakweli?
Yaani badala ulete rational reasoning na scientific principles kung'amua mambo na kutatufa practical solutions,unfortunately unatuletea hadithi za jesus christ talking hot airs and blah blah?
Then why choosing you to lead us?Kwanini tusiende directly kwa huyo jesus christ who infact is not real and is not around,and infact no one has ever met?
Hii christian nationalism is for fools trying to use their lack of brain and justify their hate and xhenophobia to others using christianity as a shield
What a loss
Ndiye rais aliyepata kura nyingi Kanda ya pwani kuliko rais yeyote yule.usijidanganyeHakika umenitangulia kupost,mwenyewe apa nilifungua jukwaa ili niandike mawazo yangu lakini nimekutana na thread yako tayari.
Mbaya zaidi sherehe/hafla za kitaifa zinapambwa na taratibu za dini ya kikirsto pekee mf,siku ya kutangaza matokeo ya urais na Leo pia siku ya Kula kiapo huko ni kuligawa taifa.Muda so mrefu udini unaenda kulitafuna Hilo Taifa na pia rais mteule anaonekana wazi wazi kabisa kwamba atakua mdini wa kweli.