Hivi Kenya Walishika Kweli Ng'ombe Elf 4 Za Tanzania

Washike wasishike haituhusu sheria zifuatwe! Amina Mohamed kashaufyata anadai hawatafanya lolote. Ujinga ni pale Watanzania watakapo-take risk na kupeleka mifugo kule.
Shida ni, hakuna chochote cha tz cha kutaifisha huku Kenya zaidi ya Azam energy drink.
 
Mkama p,chukua azam moja kwa mangi nakuja kulipa.
 
Mkama p,chukua azam moja kwa mangi nakuja kulipa.
 
Serikali ya Kenya hata kama ikishika mifugo milioni ya Tanzania, haiwezi kufanya yale yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kwa wale vifaranga na wale Ng'ombe iliowakamata..
Kenya inaongozwa na mtu mwenye AKILI.
Wewe hujitambui
 
Story tu
Sisi tumeamua
Kila nchi italinda Ardh yake full stop
 
Hakuna ng'ombe yeyote wa bongo aliyekamatwa kule kenya, ni empty intimidation ile.
 
Yule jamaa wa tweeter kanichekesha eti '' every one is resisting UHURUTO even cows''
 
Hahah zuieni chakula maana nina uhakika lazma umeshindia chakula toka Tanzania!
Hehe Kenya si ya viwonder hivyo vya kidanganyika. Kila siku meza yangu inafurika na vitu Made in Kenya yaani ni mchuzi mix county edition. Kutoka chai ya viwanda vya Kericho County hadi asali kutoka Tharaka Nithi. Afu ni highest quality product. Bahati mbaya kwako sinywi Konyagi ningewa'promote'. Inbakia tu azam na mastim zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…