kwan ujaskia mama kasemaj leo"Manake mpaka sasa hola! Mlishatuzoesha basi semeni angalau mmekwama lakni sio kuacha tu bila hata kututaarifu!
... maelekezo kutoka juu au sio?kwan ujaskia mama kasemaj leo"
Wewe Tu ndo hujui, mbona Shahidi wenu wa mavazi yanayofanana na JW kaomba mapimziko mahakamani?Manake mpaka sasa hola! Mlishatuzoesha basi semeni angalau mmekwama lakni sio kuacha tu bila hata kututaarifu!
Inawezekana eee?Waandishi wa CDM wamesusa
Aseee!Tupo busy na kikao cha Dodoma kwanza, kesi siku nyingine
wanasikilizia sauti kutoka idodomyaWaandishi wa CDM wamesusa
Waandishi wanaweza wakawa Dodoma nini?wanasikilizia sauti kutoka idodomya