Hivi kesi ya Mbowe leo imeishaje pale Mahakama Kuu

Hivi kesi ya Mbowe leo imeishaje pale Mahakama Kuu

MdogoWenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
554
Reaction score
916
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.

Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.

Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.

Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
 
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.

Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.

Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.

Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Andika vzr mkuu
 
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.

Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.

Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.

Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Usipende vya kunyonga!
 
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.

Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.

Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.

Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Udikteta ni shida sana
 
Kenge mkubwa,

Huoni wenzako wameshtuka na kutii nilichosema



Usipende vya kunyonga!
 
Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.

Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.

Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.

Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Mtoa uzi hustahili kujibiwa, kwani uzi wako umekuja ki mipasho kama ya kina Khadija Kopa.
 
Kenge mkubwa,

Huoni wenzako wameshtuka na kutii nilichosema

Baba yako anajuta kuzaa mbwa kama wewe!
 
Back
Top Bottom