Andika vzr mkuuNimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.
Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.
Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.
Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Usipende vya kunyonga!Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.
Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.
Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.
Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Udikteta ni shida sanaNimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.
Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.
Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.
Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Usipende vya kunyonga!
Mtoa uzi hustahili kujibiwa, kwani uzi wako umekuja ki mipasho kama ya kina Khadija Kopa.Nimefungua thread nyingi za wana CHADEMA na tangu asubuhi zilikuwa ni taarifa za kuwepo kesi hii.
Baada ya hapo nikatarajia thread nyingi kuhusu mahakama ilichosema. Sijaona chochote badala yake kuna taarifa nyingi za vituko na matukio ya yaliyotokea mahakamani.
Mara wamekuja mabalozi tele. Mara wanawake wamelia hadi wamejigaragaza.
Hivi kuna mwenye updates zozote hiyo kesi imeoshaje au imeahirishwaje.
Baba yako anajuta kuzaa mbwa kama wewe!Kenge mkubwa,
Huoni wenzako wameshtuka na kutii nilichosema
Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe kuendelea tena 31/8/2021
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka duniani kwa sasa , Kwamba Mwamba mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar kama anavyofahamika huko Zanzibar , kesho atafika kwenye Mahakama kuu divisheni ya Uhujumu uchumi , maeneo ya SIMU2000 kwenye majengo ya LAW SCHOOL , nje ya jiji la Dar...www.jamiiforums.com
Hatari snMtoa uzi hustahili kujibiwa, kwani uzi wako umekuja ki mipasho kama ya kina Khadija Kopa.