Hivi kiasi cha Bilioni 3 hadi 4 kiuhalisia unaweza kuifanyia nini ikuzalishie mapato zaidi?

Hivi kiasi cha Bilioni 3 hadi 4 kiuhalisia unaweza kuifanyia nini ikuzalishie mapato zaidi?

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..

Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara

Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
 
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..

Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara

Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
Kawekeze Kariakoo kwa mkataba wa miaka 10. investment haizidi 1.5-2B

MAKISIO YA MAPATO KWENYE JENGO LA GHOROFA SITA AMBAZO ZOTE NI STORE

basement/underground
maduka 11 x 1.2ml = 13.2ml
jumla kwa mwaka 13.2ml x 12 = 158ml


ground Floor
2ml x MADUKA 4 = 8ml
1.2ml x MADUKA 4 = 4.8ml
1ml x MADUKA 6 = 6ml
800k x MADUKA 4 = 3.2ml
tot per month. = 22ml
jumla kwa mwaka 22 x 12 = 264ml

first floor
MADUKA 9 x 800k = 7.2ml
MADUKA 10 x 600k = 6ml
tot per month = 13.2ml
tot per year= 158ml

tot shops income
basement + ground floor+ first floor
158ml + 264 + 158 = 580ml

MGAWANYO WA HELA KWA PERCENT
Investor 580ml x 70% = 406ml
owners 580ml x 30% = 174ml

MAPATO YA JUMLA KWA MWAKA
Investor 406ml + 3 floors
owners 174ml + 2 floors

HESABU HIZO HAZIJAJUMUISHA MAPATO YA VILEMBA NA FLOOR
 
Kawekeze Kariakoo kwa mkataba wa miaka 10. investment haizidi 1.5-2B

MAKISIO YA MAPATO KWENYE JENGO LA GHOROFA SITA AMBAZO ZOTE NI STORE

basement/underground
maduka 11 x 1.2ml = 13.2ml
jumla kwa mwaka 13.2ml x 12 = 158ml


ground Floor
2ml x MADUKA 4 = 8ml
1.2ml x MADUKA 4 = 4.8ml
1ml x MADUKA 6 = 6ml
800k x MADUKA 4 = 3.2ml
tot per month. = 22ml
jumla kwa mwaka 22 x 12 = 264ml

first floor
MADUKA 9 x 800k = 7.2ml
MADUKA 10 x 600k = 6ml
tot per month = 13.2ml
tot per year= 158ml

tot shops income
basement + ground floor+ first floor
158ml + 264 + 158 = 580ml

MGAWANYO WA HELA KWA PERCENT
Investor 580ml x 70% = 406ml
owners 580ml x 30% = 174ml

MAPATO YA JUMLA KWA MWAKA
Investor 406ml + 3 floors
owners 174ml + 2 floors

HESABU HIZO HAZIJAJUMUISHA MAPATO YA VILEMBA NA FLOOR
Hiyo kilemba siyo pato rasmi....ni wizi mtupu.
 
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..

Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara

Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
Huwez jikuta tu na Pesa mkuu..
Unless utwambie ni za urith au kitu gani..

Huwez mshauri mtu jinsi ya kuwekeza kama hujajua akili na uwezo wake upo kwenye kitu gani.

Na hapa ndipo wastaafu wengi wanakufa baada ya kustaafu kwa kusikiliza madalali..

I wish you well kwa kujikuta na pesa nyingi hivyo bila chochote kwenye akili.
 
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..

Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara

Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
Hadithi za kufikirika hata kuchangia mada ni kuisumbua akili na kuikosea, milioni mfukoni mtu huna , achana na bilioni tena 4, weee!!
 
iko wapi hiyo hela kwanza..?

Kuchoshana tu hapa mkuu.

Otherwise, labda pesa hizo anazo ndotoni. Aendelee kupambana.

Screenshot_2025-01-17-18-03-15-556_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2025-01-17-18-01-39-540_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2025-01-17-17-45-55-762_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2025-01-17-17-44-59-390_com.android.chrome.jpg


-Kaveli-
 
Back
Top Bottom