The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Duh😂Kuchoshana tu hapa mkuu.
Otherwise, labda pesa hizo anazo ndotoni. Aendelee kupambana.
View attachment 3204583
View attachment 3204585
View attachment 3204586
View attachment 3204588
-Kaveli-
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..
Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara
Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
ikabidi niache kusoma huu uzi hapo hapoKatika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha..
Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee mapato zaidi kwa miaka mingi mbele katika upande wa uwekezaji katika biashara
Kuna mwamba alitoa ushaur kua hio wala hangaiki, ananunua bond za serikali, kila mwez anakula M.70+ kwa mwezi , we ni kula raha tu ,, bond za serikal ni salama? Vip uongoz mpya ama serikal mpya inaingia je inaweza kuathiri ama kiongoz mpya akaingia na kutia mkono huko je inakuaje
Uzi ufungweKuchoshana tu hapa mkuu.
Otherwise, labda pesa hizo anazo ndotoni. Aendelee kupambana.
View attachment 3204583
View attachment 3204585
View attachment 3204586
View attachment 3204588
-Kaveli-
Chato n jiji..? Nimesema ndani ya majiji mkuu yaani pembeni jiji kama dar nenda nunua ardhi utauza tu. Tena muda wa kuuza kata vipande vya 20/20Mkuu haina uhakika sana, Chato watu wanalia huko.
Una hoja usikilizweiko wapi hiyo hela kwanza..?
huo mtaji ataanzisha video library mpya elfu tano kwa mgawanyo wa milioni moja kila libraryvp Poor Brain , huo mtaji ukiletewa kwenye biashara yako ya video library, si mambo yanakuwa poa?....
Jamani jaribuni kuwaga seriously basi khaaahuo mtaji ataanzisha video library mpya elfu tano kwa mgawanyo wa milioni moja kila library
Endapo kila library ikampa minimum Faida Tsh elfu 5
5,000*5000 faida milioni 25 kwa siku
kwa mwezi anapata faida Tsh milioni 750,000,000/=
You might have Poor Brain but rich thought
Sasa dogo umekuja kwa fluku zote hizo kana kwamba unataka kuniabisha, sijasema hela ninazo, hua hamsomi thread vyema mnakurupuka kutafuta thread zulizopita ili uonekane mwamba, kumbe mpumbavu tu na maskini wa akili, mtu akikuta thread especially zenye nafas ya kutoa wazo la biashara ama uwekezaji anasema bila hata ya kukejeli kuuliza kwamba pesa zipo ama hazipo, hicho ulichofanya unaona umewin kweli maisha 😂kumbe ni umejionesha wazi ulivyo mjinga hata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana sana zero brain na zaidi nakushaur jaribu kupata elimu zaid uondoe ujinga na acha kuishi uswahilini, mana hizo ni tabia za kike za waswahili. Shame upon your head and entire generation. Nimekudharau sana. Looser. Grow up.Kuchoshana tu hapa mkuu.
Otherwise, labda pesa hizo anazo ndotoni. Aendelee kupambana.
View attachment 3204583
View attachment 3204585
View attachment 3204586
View attachment 3204588
-Kaveli-
Sasa dogo umekuja kwa fluku zote hizo kana kwamba unataka kuniabisha, sijasema hela ninazo, hua hamsomi thread vyema mnakurupuka kutafuta thread zulizopita ili uonekane mwamba, kumbe mpumbavu tu na maskini wa akili, mtu akikuta thread especially zenye nafas ya kutoa wazo la biashara ama uwekezaji anasema bila hata ya kukejeli kuuliza kwamba pesa zipo ama hazipo, hicho ulichofanya unaona umewin kweli maisha 😂kumbe ni umejionesha wazi ulivyo mjinga hata uwezo wa kufikiria ni mdogo sana sana zero brain na zaidi nakushaur jaribu kupata elimu zaid uondoe ujinga na acha kuishi uswahilini, mana hizo ni tabia za kike za waswahili. Shame upon your head and entire generation. Nimekudharau sana. Looser. Grow up.