Hivi kibongo bongo kunywa Heineken ni status kuwa wewe uko vizuri kiuchumi??

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Wakuu, mko poa?

Ebana niko mkoa flani kikazi nikaona ngoja niende bar kutandika vyombo,nimekuta Heineken zinauzwa 6 kwa 13,500/=, nikaona ngoja nipige Heinken tu.

Sasa nashangaa watu wa jirani yangu wananiteta mpaka wengine wanahis eti me mtu wa kitengo kumbe sina hata uhusiano nao hao watu.

Je, wakuu kunywa Heineken in symbol kuwa mtu uko fresh economically?
 
Heinken ni status hata south africa,ni bia ya bei kuliko locals za nchi nyingi
 
Enzi zile fm academia wanaiimbia nyimbo iyo bia ilikua na status ya hali ya juu....
leo hii inauzwa 2500 daah imeshuka sana thamani.
 
Umecheki expiry date mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikoani watu mambo bado sana

Mwakajana nilirudi mkoani kwangu, aseee nimefika mkulima loung nawanangu wawili kila mtu na demu wake hapo nikajivutia demu wangu wa enzi izo
Basi nikawaambia waagize wanachotaka, wao ni balimi, eagle, safari nk
Nikajivutia smirnoff vodka then nikamix na Heineken
Palichafuka, watu wakaona zinamwagwa tu nonstop baa nzima mademu wote walinitaka
 
Kunyweni wanzuki, kunywa Heineken ni kuwaunga mkono mabeberu 🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐
 
Wamekushangaa mwanaume mzima unakunywaje heinkein?
 
Naaaam huku kwetu hauiiti heinken bali mdhamini wa UEFA champions league

komesha korona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…