Hivi Kima cha chini cha mshahara hapa Tanzania kimeongezwa?

Hivi Kima cha chini cha mshahara hapa Tanzania kimeongezwa?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Ninauliza swali hili kwa sababu karibia bajeti ya 2009/10 inafikia ukingoni bila kusikia kama kuna nyongeza yoyote ya mishahara mwaka huu.Ugumu wa maisha na kupanga kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali zimechangia maisha kuwa magumu.Mlio karibu na wahusika mtusaidie jibu.
 
kwa nyengeza hizi kiduchu ya 4% kweli tutafikia kima cha chini cha 315,000/=?
 
Back
Top Bottom