Hivi kipindi cha chereko kina mafunzo gani kwa jamii?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Naomba tu kueleweshwa wakuu.
 
Na mtangazaji wa sasa anabore kama nini,she is so fake na haientertain kabisa!
 
Ni kipindi cha nini na kinahusu nini na ni kwenye Redio au TV au Magazeti?
 
si kila program ni ya kufundisha mkuu. hii nadhan ni maalum kwa waliokatika harakati za kufunga ndoa na hapo wanapata kufahamu style mpya na masuala yanayofanyika katika harusi.
 
Na mtangazaji wa sasa anabore kama nini,she is so fake na haientertain kabisa!

sijui wamemtoa wapi yule mtangazaji!!!!!!

nilishaacha kukiangalia,hata nikikutana nacho kwenye pita pita yangu
nahamia mtaa wa pili fasta!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…