Hivi kiswahili kina maana zaidi ya moja?

Hivi kiswahili kina maana zaidi ya moja?

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,239
Nipo maaeneo fulani hapa nimejipumzisha kama kawaida baada ya mishe mishe. Jirani yangu kuna kijana kakaa na mambo yake. Akatokea kijana mwingine ambaye anafahamiana na kijana ambaye yupo jirani yangu. Mara akaanza kumwambia huyu kijana. Nipe mzigo wangu, unachapwa nini, wewe unapigwa.
Ghafla ugomvi ukaanza, nina chapwa mimi, nina chapwa mimi.

Mimi nikawaamulia ugomvi, sasa sijaona tatizo ya hiyo misemo. Kwa sababu sijasikia tusi hata moja. Au siku hizi kiswahili kina maana mbili mbili
 
Neno la Kiswahili linaweza kuwa na maana nyingine. Hata hivyo kuna Semi za Kiswahili ambayo ni vifungu vya maneno yenye maana fiche - (Words that have hidden meanings).
 
Inafurahisha, fahamu hicho kiswahili neno lina maana zaidi ya moja
 
Lugha ya kiswahili kinamaana zadi ya1 but sametime user an2mia kutokana na mazingira.
 
Lugha ya kiswahili kinamaana zaidi ya1 but sametime user an2mia kutokana na mazingira.
 
Back
Top Bottom