Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Tangu ujio wa corona au covid 19, kumekuwa na matumizi ya neno osha mikono.
Mimi navyojua kuosha inahusisha vyombo na viungo nusu vya binadamu tunatumia Nawa. Ikiwa ni mwili mzima tunatumia neno Oga. Kwa nguo tunatumia neno Fua.
Wadau naomba mnitoe matongotongo kwa wale wajuvi wa lugha adhimu ya kiswahili.
Mimi navyojua kuosha inahusisha vyombo na viungo nusu vya binadamu tunatumia Nawa. Ikiwa ni mwili mzima tunatumia neno Oga. Kwa nguo tunatumia neno Fua.
Wadau naomba mnitoe matongotongo kwa wale wajuvi wa lugha adhimu ya kiswahili.