FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Natamani kufahamu hivi ni spice ipi hasa inayoifanya pilau iwe pilau...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani kabisa...!! em' weka picha kwanza..Uzile au kwa jina jengine bizari nzima na kitunguu
Inasemekana eti we ni kiungo cha kutengeneza mchuzi wa mbwa.., eti ni kweli..?!Leo kuna nini ? mwenzio kauliza haki ya kuchinja wewe unauliza viungo vya mchele. Peleka hii Manzese kwa wenzio. mxiuuucvfd
Inasemekana eti we ni kiungo cha kutengeneza mchuzi wa mbwa.., eti ni kweli..?!
Kwa hiyo wewe unajifanya nini kwa kutapika kinyesi kama hiki..?Leo kuna nini ? mwenzio kauliza haki ya kuchinja wewe unauliza viungo vya mchele. Peleka hii Manzese kwa wenzio. mxiuuucvfd
Haiwezekani kabisa...!! em' weka picha kwanza..
U mean binzari au..?!Sasa umeuliza umepewa jibu unabishana vipi mwenzetu?
Hivo alivokujibu ni kweli kabisa spice kuu ya pilau ni uzile au jina jengine bizari ya pilau wazungu wanaita (cummin)
U mean binzari au..?!
Yeah ila sio ile bizari ya njano
Sie tunaita binzari nyembamba....
Ile ndo pilau haswaaa
Natamani kufahamu hivi ni spice ipi hasa inayoifanya pilau iwe pilau...
Pilau ili iwe pilau lazima viungo saba. Viwepo kwa mchanganyiko sawia, yaani kulingana na ukali wa kila kiungo. Binafsi nikipika pilau nahakikisha nina viungo hivi saba ukitoa chumvi, mafuta na kitunguu maji,
Giligilani ya mbegu, mdalasini, pili pili manga, karafuu kidogo, hiliki, binzari nyembamba, na kitunguu saumu
jajajajajajaja....huyo wa kwenye avatar ni wewe mwenyewe da mkubwa?
Avatar tu
Pilau ili iwe pilau lazima viungo saba. Viwepo kwa mchanganyiko sawia, yaani kulingana na ukali wa kila kiungo. Binafsi nikipika pilau nahakikisha nina viungo hivi saba ukitoa chumvi, mafuta na kitunguu maji,
Giligilani ya mbegu, mdalasini, pili pili manga, karafuu kidogo, hiliki, binzari nyembamba, na kitunguu saumu
Me sipendi mbegu za giligilani na pilipili manga kwenye pilau...
Nikipika huwa naweka binzari nyembamba, mdalasini na iriki kidogo....tena navisaga mwenyewe....simple!