Hivi klabu za Kariakoo zinatuchukuliaje sisi mashabiki?

Hivi klabu za Kariakoo zinatuchukuliaje sisi mashabiki?

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Yaani wanatufanya mashabiki kama hayawani muda mwingine. Tabia zao za uongo na kukuza mambo na mbaya zaidi ni tabia ya kutagaza wachezaji usiku naichukia sana, sio jambo fair kwa mashabiki waliokuwa na haki ya kupata taarifa juu timu yake kuhusu usajili.

Tabia hii ya kipuuzi walikuwa nayo Yanga na Simba nao wakaiga kwa siku hizi mbili. Ya nini kuwaweka watu attention hadi saa tano saa sita za usiku?

IMG_20230115_231130.jpg
IMG_20230115_231040.jpg
 
Vijana wa utopolo shida tupu we lala tu au mwenzetu unashinda magetini bosi bado yuko macho uchepuke lindoni?
 
KONDE BOY WANAOMSUBIR UTOPOLO NI YULE WA AMELOWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Yaani wanatufanya mashabiki kama hayawani muda mwingine. Tabia zao za uongo na kukuza mambo na mbaya zaidi ni tabia ya kutagaza wachezaji...
KAMA UMEWAHI SIKIA MTU ANAITWA SHAKUNAKU BASI NDIO WEWE
 
Washabiki ndio hamnazo! kutwa kubishana mambo ya kipuuzi! ujinga huu ndio mtaji wa hizi timu 2.

Kama uko makini, huwezi kukaa hadi saa 5 au saa 6 usiku eti kusubiri utambulisho wa mchezaji, wakati kesho ipo na utamfahamu.

Hizi timu zibadilike, lakini washabiki mbadilile zaidi!
 
Washabiki ndio hamnazo! kutwa kubishana mambo ya kipuuzi! ujinga huu ndio mtaji wa hizi timu 2...
Watanzania kwa ujuaji kwakweli yaani hapo mwenyewe umejifanya kama umestaarabika mno sasa hebu nikuambie kitu kwenye mambo ya soka dunia mzima mashabiki wanafanana tabia kwahiyo sio bongo tu hata huko ulaya unakojifananisha nako hali ni hii tu unayoiona hapa bongo
 
Watanzania kwa ujuaji kwakweli yaani hapo mwenyewe umejifanya kama umestaarabika mno sasa hebu nikuambie kitu kwenye mambo ya soka dunia mzima mashabiki wanafanana tabia kwahiyo sio bongo tu hata huko ulaya unakojifananisha nako hali ni hii tu unayoiona hapa bongo
Kwamba wewe unafanana tabia na mashabiki wa ulaya!?

Unadhani wale wanaendeshwa kama mnavyoendeshwa na kudangwanyaa kila siku.
 
Kwamba wewe unafanana tabia na mashabiki wa ulaya!?

Unadhani wale wanaendeshwa kama mnavyoendeshwa na kudangwanyaa kila siku.
Huko ni hatari, ulaya mpira ndo umeshika kasi zaidi. Huko America ndo kabisa hakushikiki kwa mpira, kuna mwaka derby ya Argentina ikabidi ipigwe Bernabeu baada ya kuona watu wanakufa uwanjani.
 
Back
Top Bottom