GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kama Alifukuzwa je, aliyemfukuza hivi sasa anajisikiaje akimuona kaipeleka Wydad Casablanca FC Fainali ya CAFCL na anaelekea kuwa Bingwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakufukuzwa Simba yule, aliondoka kwa kusema ana ishu za kifamilia akavunja mkataba, ila alikua amepata dili kubwa zaidi. Kilichomtoa pale Simba ni uswahili swahili wa uongozi. Kama unakumbuka alipoondoka, kuna maneno aliyasema sana ambayo yalionyesha wazi kuna kitu hakipo sawa kwenye uongozi. Jamaa ni kati ya makocha bora kabisa Africa.Na kama Alifukuzwa je, aliyemfukuza hivi sasa anajisikiaje akimuona kaipeleka Wydad Casablanca FC Fainali ya CAFCL na anaelekea kuwa Bingwa?
Simba kwanzia bechi la ufundi:
Viongozi:
Mpaka mashabiki wote hamna akili
Mpaka wewe
Kwa jinsi alivyoondoka hazikuwa issue za ofa , kama ni ofa huwa unajulikana wazi kwamba kocha anaenda timu Fulani na amevunja mkataba , huyo kocha aliondoka sababu ya uswahili wa timu , utumuaji wa mbinu za kishirikina, mara abebe matunguli, mara asinywe maji wakat wa mechi , mara kumlaza kwenye migomba , mara akachanjwe chare , sjui aende Kwa mganga usku wa manane ...yaan taabu tupu za KiswahiliALIPATA Ofa nzuri mno Morocco.
FAR RABART.
MSHAHARA wake ulikuwa Unaingia mara Tano ya Mshahara simba.
Kuna offa zinakuja kwa MAKOCHA WA Simba Hadi uongozi unaona aibu kupinga.
SVEN ALIVUNJA MKATABA KWASABABU YA OFA NZURI YA FAR RABART.
ChaiKwa jinsi alivyoondoka hazikuwa issue za ofa , kama ni ofa huwa unajulikana wazi kwamba kocha anaenda timu Fulani na amevunja mkataba , huyo kocha aliondoka sababu ya uswahili wa timu , utumuaji wa mbinu za kishirikina, mara abebe matunguli, mara asinywe maji wakat wa mechi , mara kumlaza kwenye migomba , mara akachanjwe chare , sjui aende Kwa mganga usku wa manane ...yaan taabu tupu za Kiswahili
Hili nililisikiaKwa jinsi alivyoondoka hazikuwa issue za ofa , kama ni ofa huwa unajulikana wazi kwamba kocha anaenda timu Fulani na amevunja mkataba , huyo kocha aliondoka sababu ya uswahili wa timu , utumuaji wa mbinu za kishirikina, mara abebe matunguli, mara asinywe maji wakat wa mechi , mara kumlaza kwenye migomba , mara akachanjwe chare , sjui aende Kwa mganga usku wa manane ...yaan taabu tupu za Kiswahili
Aina ya wachezaji wydad inatofautiana na aina ya wachezaji wa simbaNa kama Alifukuzwa je, aliyemfukuza hivi sasa anajisikiaje akimuona kaipeleka Wydad Casablanca FC Fainali ya CAFCL na anaelekea kuwa Bingwa?
Huyo si kaja WAYDAD timu ikiwa imeshaingia fainali? Hana uwezo wa kuanzia kwenye mtoano hadi fainali.Aina ya wachezaji wydad inatofautiana na aina ya wachezaji wa simba
mfumo wake uligoma simba ukafaulu wydad
😂😂😂😂😂😂aiseeehSimba kwanzia bechi la ufundi:
Viongozi:
Mpaka mashabiki wote hamna akili
Mpaka wewe
Magroup ya WhatsApp ya yanga ni majanga!Fikiria mtu kama huyu ana mme na watoto lakini ameaminishwa ujinga huu na ameuleta hapaKwa jinsi alivyoondoka hazikuwa issue za ofa , kama ni ofa huwa unajulikana wazi kwamba kocha anaenda timu Fulani na amevunja mkataba , huyo kocha aliondoka sababu ya uswahili wa timu , utumuaji wa mbinu za kishirikina, mara abebe matunguli, mara asinywe maji wakat wa mechi , mara kumlaza kwenye migomba , mara akachanjwe chare , sjui aende Kwa mganga usku wa manane ...yaan taabu tupu za Kiswahili
Umejipanga mkuu?😂😂😂Simba kwanzia bechi la ufundi:
Viongozi:
Mpaka mashabiki wote hamna akili
Mpaka wewe
NdioUmejipanga mkuu?😂😂😂