Hivi kuchangisha Pesa ya kujenga msikiti kutoka wa wakristo kanisani ni sahihi ? Tuone video

Hivi kuchangisha Pesa ya kujenga msikiti kutoka wa wakristo kanisani ni sahihi ? Tuone video

Kafiri ni mtu asioamini uwepo wa Mungu. Ila hawa wanaochangishwa wanaamini uwepo wa Mungu na ndo maana wanajua Mungu ana njia nyingi za kuabudiwa. Ukisoma historia utaona kuwa dini hizi zimekua zikichangiana ujenzi wa maeneo yao ya Ibada. Zanzibar kuna Kanisa kubwa la Anglican asili yake ilitolewa ardhi na Sultan. Kwahio mie sioni ajabu kuchangishana
 
Back
Top Bottom