Hivi kukonda na kunenepa kipi Rahisi?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Tutoleane ushuhuda hapa wadau kutokana na mazingira yanayotuzunguka maana nimeshuhudia watu wengi wakilalamika muda mrefu kuhusu mambo hayo,Huyu"Anatafuta wembamba muda mrefu haupati huyu anatafuta unene haupati"
 
Tutoleane ushuhuda hapa wadau kutokana na mazingira yanayotuzunguka maana nimeshuhudia watu wengi wakilalamika muda mrefu kuhusu mambo hayo,Huyu"Anatafuta wembamba muda mrefu haupati huyu anatafuta unene haupati"
ukiwa mnene kukonda ni mzikii mzitoo
 
Nilivyokua shule nilikua nacheza 50 to 55’ nilikua kimodooooo
Kuja kuanza chuo nikakonda mpaka 48kgs first semester’ semester ya pili mpaka nikamaliza nilikua nanenepa tu (naona niliridhika na maisha ya huko) nimesoma dodoma ila nyumbani ni dar
So nilikua nakaa mwenyewe
Sasahivi nna 78kgs nikipungua sanaaa nacheza na 76/75 hapo tu’ I wish nifike hata 60kgs tu m sio mlaji kivile.. pia nimeshafanya diet nyingi tu sijapungua hata’ pia nina stress nyingiiiii ila wapi hata sikondi

Kunenepa ni rahisi.. kuliko kukonda[emoji24][emoji1430]
 
Kunenepa mtu akiamua ndani ya week tu mabadiliko yanaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…