HIVI KULA CHABO NIKOSA KISHERIA????

kasabuku

Member
Joined
Dec 24, 2017
Posts
30
Reaction score
24
When people with canal knowledge is it an offence, which act establish with sec??
 
KULA CHABO:
  • Mitihani darasani
  • barabarani km Traffic wapo mbele?
  • Mke wangu bafuni?
  • Boss km katoka?
  • mgegedo chumbani?
    • yote hakuna KOSA KISHERIA
 
ukila chabo unashushia kinywaji gani mkuu
 
Chabo unayoijua tu watu wamo ndani usiku halafu unachungulia na camera unarekodi, kuna kesi hiyo jamaa ampigwa miezi 6 halafu unasema sio kosa kivip jibu kisheria sio unakulupuka tu kasome sec.138A. Cap 16 Halafu unipe majibu
 
Yaani unichungulie chumbani kwangu namke wangu tukijenga nchi kwa kuongeza wapambanaji nikukamate na udhibitisho useme hakuna kosa
 
jibu kisheria sio unakulupuka tu kasome sec.138A. Cap 16 Halafu unipe majibu
kichekesho sec 138A Cap 16 ni ya Ndoa, jinai, ardhi au Katiba
mm nimekuta upenyo hujaziba nikaangalia kwa mbinu zangu UTANIFUNGAJE
km nimerekodi na kusambaza kamata wote wanaoangalia
lkn kuona tu hakuna kifungo cha kuchabo
unachotakiwa ziba kuta zote, au weka kibao mbwa mkali
huyo aliyefungwa weka uthibitisho tuipitie hiyo hukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…