MwanaFalsafa1 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 5,565 Reaction score 843 Mar 22, 2010 #21 Yup Jerusalem kuna weusi wazawa kama ambavyo hata tanzania kuna wahindi, waarabu na hata wazungu wazawa.
Yup Jerusalem kuna weusi wazawa kama ambavyo hata tanzania kuna wahindi, waarabu na hata wazungu wazawa.
Makalangilo Senior Member Joined Mar 9, 2009 Posts 130 Reaction score 18 Mar 22, 2010 #22 Inavutia sana kuona Waafrika nadni ya Jersalem.Thanks.
Ngambo Ngali JF-Expert Member Joined Apr 17, 2009 Posts 3,517 Reaction score 1,363 Mar 22, 2010 #23 MziziMkavu said: wafrika kila kila mahali wapo katika Dunia hii ila tu hatupewi haki zetu tunanyanyaswa sana tofauti na wenzetu watu weupe wakija kwetu afrika tunawapokea kwa mikono miwili. Click to expand... MziziMkavu, Naomba kuqualify statement yako kuwa nchini Argentina hakuna waafrika.
MziziMkavu said: wafrika kila kila mahali wapo katika Dunia hii ila tu hatupewi haki zetu tunanyanyaswa sana tofauti na wenzetu watu weupe wakija kwetu afrika tunawapokea kwa mikono miwili. Click to expand... MziziMkavu, Naomba kuqualify statement yako kuwa nchini Argentina hakuna waafrika.
Mwana wa Mungu JF-Expert Member Joined Aug 14, 2008 Posts 1,003 Reaction score 85 Mar 31, 2010 #24 kuna waethiopia wengi sana,
Eqlypz JF-Expert Member Joined May 24, 2009 Posts 4,065 Reaction score 643 Mar 31, 2010 #25 Yeah hawa wako wengi, miaka ya nyuma kuna ile operation (nimesahau jina) ilikwua carried kuwarescue na kuwarudisha Israel.
Yeah hawa wako wengi, miaka ya nyuma kuna ile operation (nimesahau jina) ilikwua carried kuwarescue na kuwarudisha Israel.