Hivi kumbe Kuna wanawake warefu hivi

Hivi kumbe Kuna wanawake warefu hivi

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Huyu mwanamke ni mrefu hatari aisee kweli dunia inamaajabu tena ni mrefu halafu mtu wamazozezi apa ukiwa kijeba hamuendani
 

Attachments

  • Screenshot_20241225-093013.jpg
    Screenshot_20241225-093013.jpg
    250.1 KB · Views: 6
Huyu mwanamke ni mrefu hatari aisee kweli dunia inamaajabu tena ni mrefu halafu mtu wamazozezi apa ukiwa kijeba hamuendani
Huyo MWANAMKE ni Mganda na kaka yake Blade ni body builders, sio mrefu kama ionekenavyo kwenye picha picha hiyo imepigwa yeye akiwa karibu ya camera huku Blade a.k.a Grandson na Kenny cocha wa mazoezi kutokea Afrika Kusini wakiwa mbali nyuma

Hii hapa picha ya kipande cha video wakitembea mtaani wakiwa sambamba je MWANAMKE huyo anaonekana ni mrefu kuliko Blade ?!
Screenshot_20241225-133919.png
 
Unashangaa urefu, hushangai haya?
Nuhu (Noah)

Nuhu aliishi miaka 950 kulingana na Biblia (Mwanzo 9:29) na Kurani. Alijulikana kwa uvumilivu wake na jukumu la kujenga Safina ya Nuhu kuokoa wanadamu na wanyama kutoka kwenye gharika kubwa.



2. Adam

Adam, baba wa wanadamu wote, alisemekana kuishi miaka 930 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:5).



3. Methusela (Methuselah)

Methusela alikuwa mjukuu wa Henoko na babu wa Nuhu. Alitajwa kuishi miaka 969 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:27), na ndiye mtu aliyeishi muda mrefu zaidi.

Allah akbar
 
Unashangaa urefu, hushangai haya?
Nuhu (Noah)

Nuhu aliishi miaka 950 kulingana na Biblia (Mwanzo 9:29) na Kurani. Alijulikana kwa uvumilivu wake na jukumu la kujenga Safina ya Nuhu kuokoa wanadamu na wanyama kutoka kwenye gharika kubwa.



2. Adam

Adam, baba wa wanadamu wote, alisemekana kuishi miaka 930 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:5).



3. Methusela (Methuselah)

Methusela alikuwa mjukuu wa Henoko na babu wa Nuhu. Alitajwa kuishi miaka 969 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:27), na ndiye mtu aliyeishi muda mrefu zaidi.

Allah akbar
Na je vipi Hezbulah wewe na FaizaFoxy mkipanua mabakuli mkituanvia Wayahudi watapigwa wachakae vipi mbona hautupi updates, na houth umesikia walivyofinywa vipi kuhusu Syria ?!
 
Unashangaa urefu, hushangai haya?
Nuhu (Noah)

Nuhu aliishi miaka 950 kulingana na Biblia (Mwanzo 9:29) na Kurani. Alijulikana kwa uvumilivu wake na jukumu la kujenga Safina ya Nuhu kuokoa wanadamu na wanyama kutoka kwenye gharika kubwa.



2. Adam

Adam, baba wa wanadamu wote, alisemekana kuishi miaka 930 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:5).



3. Methusela (Methuselah)

Methusela alikuwa mjukuu wa Henoko na babu wa Nuhu. Alitajwa kuishi miaka 969 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:27), na ndiye mtu aliyeishi muda mrefu zaidi.

Allah akbar
Nuhu ameishi miaka isiyopungua elfu na kitu
(Ile inayotajwa kwenye quran tukufu siyo miaka ya umri wake bali miaka ya utumishi wake)

Wallaahu a'alam
 
Back
Top Bottom