Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yukowapi mkuu
Huyo MWANAMKE ni Mganda na kaka yake Blade ni body builders, sio mrefu kama ionekenavyo kwenye picha picha hiyo imepigwa yeye akiwa karibu ya camera huku Blade a.k.a Grandson na Kenny cocha wa mazoezi kutokea Afrika Kusini wakiwa mbali nyumaHuyu mwanamke ni mrefu hatari aisee kweli dunia inamaajabu tena ni mrefu halafu mtu wamazozezi apa ukiwa kijeba hamuendani
Na je vipi Hezbulah wewe na FaizaFoxy mkipanua mabakuli mkituanvia Wayahudi watapigwa wachakae vipi mbona hautupi updates, na houth umesikia walivyofinywa vipi kuhusu Syria ?!Unashangaa urefu, hushangai haya?
Nuhu (Noah)
Nuhu aliishi miaka 950 kulingana na Biblia (Mwanzo 9:29) na Kurani. Alijulikana kwa uvumilivu wake na jukumu la kujenga Safina ya Nuhu kuokoa wanadamu na wanyama kutoka kwenye gharika kubwa.
2. Adam
Adam, baba wa wanadamu wote, alisemekana kuishi miaka 930 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:5).
3. Methusela (Methuselah)
Methusela alikuwa mjukuu wa Henoko na babu wa Nuhu. Alitajwa kuishi miaka 969 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:27), na ndiye mtu aliyeishi muda mrefu zaidi.
Allah akbar
Nuhu ameishi miaka isiyopungua elfu na kituUnashangaa urefu, hushangai haya?
Nuhu (Noah)
Nuhu aliishi miaka 950 kulingana na Biblia (Mwanzo 9:29) na Kurani. Alijulikana kwa uvumilivu wake na jukumu la kujenga Safina ya Nuhu kuokoa wanadamu na wanyama kutoka kwenye gharika kubwa.
2. Adam
Adam, baba wa wanadamu wote, alisemekana kuishi miaka 930 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:5).
3. Methusela (Methuselah)
Methusela alikuwa mjukuu wa Henoko na babu wa Nuhu. Alitajwa kuishi miaka 969 kulingana na Biblia (Mwanzo 5:27), na ndiye mtu aliyeishi muda mrefu zaidi.
Allah akbar