NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
achunguza kwani ataka nini huyo,hebu muulize na mwambie apunguze spid kidogo
mama gaude wangu umesikia mambo hayo eeeeh..usije niliza mtoto wa kihehe mie ,nimgaya sida beeh
pink stands 4 girls,,,and i' muslim haki lillahi i'm nilham as nilham,,and as i wrote this 4 u allah is with me...haturuhusiwi kuonyesha nywele ama kichwa wazii..ndio mana nikatumia pictr hii,,na si hapa tuu nimebandika ni kote niwasilianapo na binadam wenzangu..uongo dhambi jamani..hata kam nina macho makubwa laikini ni mimi ya nini nijificheee???hapo twatoka burj khalifa siku ya eid l hajj juzi..
Mweeee
Ukimuona ndo utastaajaabu zaidi mie nawachukia wanaume lakini kwa hili huyu mwanamke kaniboa aisee halafu ana majeuri sijuii aa hhh
duu makubwa haya,sasa wawachukia wanaume kisa gani?
kwa maelezo ya text yako huyo mama ni kwamba hana hata chembe iliyobaki ya mampenzi kwa huyo mumewe,jeuri na dharau zote hizo!
duu makubwa haya,sasa wawachukia wanaume kisa gani?
kwa maelezo ya text yako huyo mama ni kwamba hana hata chembe iliyobaki ya mampenzi kwa huyo mumewe,jeuri na dharau zote hizo!
Namshangaa huyu mwanamke mwenzetu na tabia zake hizi lol hana haya hata kidogo
Ukimuona ndo utastaajaabu zaidi mie nawachukia wanaume lakini kwa hili huyu mwanamke kaniboa aisee halafu ana majeuri sijuii aa hhh
Homa imenizidia mie, kutwa nashinda nalia..
jua linapo chomoza macho mie hunitoka.
Kisa alicho nitenda mie, sitakisahau kamwe...
Amenisha wishi nimuache mume wangu, niende kuishi naeeee...
Nimeondoka kwa mume wangu, nimeenda kwa Rehani..
Baada ya muda si mrefu, kasema niondoke sina tabia nzuri...
Mamaaa yamenikutaaa mama yameninikutaaaa...
ndugu zangu mlioo olewa mjihadhari na ...............
Wimbo ulikuwa na maana kubwa sana huo.
pink stands 4 girls,,,and i' muslim haki lillahi i'm nilham as nilham,,and as i wrote this 4 u allah is with me...haturuhusiwi kuonyesha nywele ama kichwa wazii..ndio mana nikatumia pictr hii,,na si hapa tuu nimebandika ni kote niwasilianapo na binadam wenzangu..uongo dhambi jamani..hata kam nina macho makubwa laikini ni mimi ya nini nijificheee???hapo twatoka burj khalifa siku ya eid l hajj juzi..
nilihisi tu utakuwa wa kurekure bila hata kuangaria jina niripokuja kuona jina mmmh ndo mana umemkomment namna kweri akija kwako razima aondoke na mbinu za kijeshi.Mwambie anitafute kwa njia yeyote atakayoweza nimpe "mbinu za kijeshi" hatokaa akamlilia mwanamke katu.
kwahiyo nilham hiyo ni sura yako halisi hasa?ataka kaukweli flani,,usiwe mkali na wewe acha niwe muazi tutokomeze ukimwi..ningebandika si yangu tena ya utupu si angetaman alafu akenda kunanihii tungekua tushampoteza...they say think before u do,,,,
Ukimuona ndo utastaajaabu zaidi mie nawachukia wanaume lakini kwa hili huyu mwanamke kaniboa aisee halafu ana majeuri sijuii aa hhh