me too dena hawa viumbe wana maudhi sana ila huyu baba atia huruma mwe. Sa si aendelee tu na maisha na yeye wanaume huwa wanajikaza hata akifiwa au uyo ni manaume suruale nini mapenzi gani ya kulia na utu uzima huu
Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda
Habari zenu wana JF
Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.
Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni
Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda
Nimekubali The Finest ni "mbishi" duh! Itabidi nimuulize Babu inakuwaje pale Baa Mpya! khaa!
Karibu mjengoni..........imekuwaje sijakuona hadi leo hii?? Au we mtazamaji tu humu?mwanaume kulia kitu cha kawida sana kwani si binadam pia jamani????we tena mwanamme alia vibaya mpaka apiga magoti utasema kaambiwa nakua leo...hahahhhaaa but makes me sad too
Hivi eeh....cheki PM yako....pink stands 4 girls,,,and i' muslim haki lillahi i'm nilham as nilham,,and as i wrote this 4 u allah is with me...haturuhusiwi kuonyesha nywele ama kichwa wazii..ndio mana nikatumia pictr hii,,na si hapa tuu nimebandika ni kote niwasilianapo na binadam wenzangu..uongo dhambi jamani..hata kam nina macho makubwa laikini ni mimi ya nini nijificheee???hapo twatoka burj khalifa siku ya eid l hajj juzi..
Mwambie anitafute kwa njia yeyote atakayoweza nimpe "mbinu za kijeshi" hatokaa akamlilia mwanamke katu.
u mrembo bidada!
sifa kwa aliyekuumba!:A S crown-1:
Sifa kwa aliyekuumba pia!
Habari zenu wana JF
Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.
Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni
Akithubutu tu anapelwkwa TAMWA...........hahahhhhhhmnh...mwambie huyo mwanaume atafute nyumba ndogo..
tuone kama huyo mwanamke hatatia akili????
ahame akaanze maisha mapya somewhere...,
asihesabu huyo mwanamke kamtia hasara kiasi gani.,
akiendelea kukaa hapo huyo mwanamke atamletea ugonjwa ndani,
hakuna kitu expensive kama UHAI!
Fab........... unajikana mwenyewe! au ulukuwa unamaani hii ni ya zamani?Asante,ila huyo kwenye picha sio mie:embarrassed::embarrassed:
Fab........... unajikana mwenyewe! au ulukuwa unamaani hii ni ya zamani?
Karibu mjengoni..........imekuwaje sijakuona hadi leo hii?? Au we mtazamaji tu humu?
kwahiyo nilham hiyo ni sura yako halisi hasa?
Hivi eeh....cheki PM yako....
mmh r u sure?
2sad!
i like u rose!!!