ni ujuha, nina jiran yangu analo huwa analiwasha jumapil tu akiwa anaenda kanisani, weekdays ana ki-makonda chake anabanana na mkewe mwanzo mwisho...mimi nna rush yangu saaafi full burudan
Nilitaka nikurushie ngumi kali....Toyota Prado ni gari mahususi ambayo imetengenezwa kwa ajili ya safari ndefu Sio mizinguko mifupi fupi ya mjini.Hivi mtu kumiliki Hilo dude kwa safari za mizunguko ya mjini Ni akili au ujinga? Sio matumizi mabaya ya pesa ?
Hata hizo VX watu wanazo za kutembelea mjini Kutoka saluni Moja kwenda saluni ingine.Unaukuta mdude huo kajimama kanapaki kanashuka kanaingia saluni kusuka nywele za mtindo wa mwenda kilioniActually Prado is the town car. Sio za safari ndefu. Land cruiser vx ndio habari nyingine.
Toyota Prado ni gari mahususi ambayo imetengenezwa kwa ajili ya safari ndefu Sio mizinguko mifupi fupi ya mjini.Hivi mtu kumiliki Hilo dude kwa safari za mizunguko ya mjini Ni akili au ujinga? Sio matumizi mabaya ya pesa ?
Wabongo kwa akili mbovuKesho utatuambia wanaojenga magorofa hawana akili kwasababu wanalala chumba kimoja tu!