Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Toyota Prado ni gari mahususi ambayo imetengenezwa kwa ajili ya safari ndefu Sio mizinguko mifupi fupi ya mjini.Hivi mtu kumiliki Hilo dude kwa safari za mizunguko ya mjini Ni akili au ujinga? Sio matumizi mabaya ya pesa ?
ni umaskini na wivu wake tu...msameheSijaona sehemu hilo gari limeandikwa la masafa marefu. Na mbona kuna watu wanaenda safari ndefu na passo?
Ulitaka atumie gari gani hapa mjini??
Hela yake kwanini umpangie matumizi??
Mawazo yako...Toyota Prado ni gari mahususi ambayo imetengenezwa kwa ajili ya safari ndefu Sio mizinguko mifupi fupi ya mjini.Hivi mtu kumiliki Hilo dude kwa safari za mizunguko ya mjini Ni akili au ujinga? Sio matumizi mabaya ya pesa ?
Ngoja niendelee kuwasoma watetezi wa wanyonge, Hii ni Tanzania ya wanyonge.ni ujuha, nina jiran yangu analo huwa analiwasha jumapil tu akiwa anaenda kanisani, weekdays ana ki-makonda chake anabanana na mkewe mwanzo mwisho...mimi nna rush yangu saaafi full burudan
Utakua unaendesha possibly Terrios kid/suzuki kei/mitsubishi pajero mini/suzuki carry/suzuki everyGari yangu ni 650cc tu ila ninavyowakwamisha humo bara barani sio poa... Wengi na ma Prado yao huwa wanakasirika sana jinsi navyowaovaertake!
Wacha huyo huyo ana nafuu Kuna wale wanaenda na magari ya mizigo yaani Toyota pickup zile za kubeba majani ya ng'ombe na kupakia mizigo ofisini.Kuna haja iweko dress code ya magari kuwa mtu aende ofisini na gari gani siku ingine mfanyakazi ataenda ofisini na trekta lenye tela au tingatinga ofisiniUnakuta mtu ana Nissan navara anaendea kazini
Hongera bana kwa kumiliki Terios Kid ama Cami mzee baba. Cha muhimu umekalia chombo cha moto, mwamuzi mkojo wa MwarabuπGari yangu ni 650cc tu ila ninavyowakwamisha humo bara barani sio poa... Wengi na ma Prado yao huwa wanakasirika sana jinsi navyowaovaertake!
Hahahah umenikumbusha mbali mkuu, hizo ndio zilikuwa pigo za watoto wa kiarabu watoto wa Mzee Sadiq, Balhabou enzi hizo kishule shule mwana anakuja na horse ya Scania anapark anaingia darasani hana habari.Uchumi ukiwa mzuri hata kwenda sokoni na scania 113 ni sawa tu.ikiwezekana hata kutumia trector aina ya Ferguson town trip,kuchaguliana usafiri sio vizuri mjini hapa
Wenye magari ya BASHITE utawajua tu...ni ujuha, nina jiran yangu analo huwa analiwasha jumapil tu akiwa anaenda kanisani, weekdays ana ki-makonda chake anabanana na mkewe mwanzo mwisho...mimi nna rush yangu saaafi full burudan
Cary au?Gari yangu ni 650cc tu ila ninavyowakwamisha humo bara barani sio poa... Wengi na ma Prado yao huwa wanakasirika sana jinsi navyowaovaertake!
We ndio umeongea point sasa, mtoa mada angetumia hii kama basis ya Argument yake ningemuelewa sana yani.Magari makubwa yanasaidia sana pindi mvua kubwa inapo nyesha tofauti ist yanaweza kwama
Terios Kid au Cami hio bila shaka, ndio ina 650ccCary au?
JF ina watu laki tano ndugu na wote hao wana emails kwa maana wamesoma na wanamiliki simu nzuri. Humu majority ya wanasiasa wapo humu, majority ya wasanii wapo humu, majority ya wahadhiri/lecturers wamo humu, wafanyakazi wa mabenki, wanaofanya kazi za maofisi ya mashirika,serikali,waalimu n.k wamo humu na hao ndio wamiliki wa magari so usishangae mkuuAcha JamiiForums iitwe JamiiForums.
Yaani kila mtu humu anamiliki gari dadeki