Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu.
Kwa wapenzi wa Military jet fighters, nadhani tunakubali F-22 ndio the best hadi sasa.
Hii chuma ni latest generation (5th generation) na tokea zianze kutengezwa Marekani 2010 na Lockheed Martin, dunia nzima inakubali moto wake.
Warusi wanazo Sukhoi zao (SU-35, SU-57 etc.) ila kwa Raptor zote naamini zinakaa.
Kuanzia speed, range, weapons, maneuverability, stealth, n.k
Tusubiri 2030 zije 6th generations, maybe zitawapoteza hawa vibaya sana.
Kwa wapenzi wa Military jet fighters, nadhani tunakubali F-22 ndio the best hadi sasa.
Hii chuma ni latest generation (5th generation) na tokea zianze kutengezwa Marekani 2010 na Lockheed Martin, dunia nzima inakubali moto wake.
Warusi wanazo Sukhoi zao (SU-35, SU-57 etc.) ila kwa Raptor zote naamini zinakaa.
Kuanzia speed, range, weapons, maneuverability, stealth, n.k
Tusubiri 2030 zije 6th generations, maybe zitawapoteza hawa vibaya sana.