Hivi kuna collaboration duo iliwahi kutisha kuliko ya Ja Rule na Ashanti?

Hivi kuna collaboration duo iliwahi kutisha kuliko ya Ja Rule na Ashanti?

def_xcode

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
1,896
Reaction score
5,181
Aisee leo wakati nikipita mitaa ya Youtube nikakutana na ngoma ya always on time, nikajikuta nasikiliza collabo karibu zote za Ashanti na Ja Rule.
Aisee zimenirudisha mbali sana nikiwa primary hizi ngoma nasikiliza sana hata sielewi wanaimba nini.
Kweli wakati ukuta, Ja Rule alikuwa at the peak lakini baada ya bifu na 50 cent alianguka vibaya sana na Ashanti akawa victim wa bifu hili.
 
Nilikuwa sijaanza shule mjomba wangu akaja kunichukua, siku zote kwenye gari alikuwa anapiga ngoma ya Whats Luv nikawa naiimba kitoto kwa mumbling.

Ni ngoma ya kwanza kabisa ya nje kuisikia.
 
Aisee leo wakati nikipita mitaa ya Youtube nikakutana na ngoma ya always on time, nikajikuta nasikiliza collabo karibu zote za Ashanti na Ja Rule.
Aisee zimenirudisha mbali sana nikiwa primary hizi ngoma nasikiliza sana hata sielewi wanaimba nini.
Kweli wakati ukuta, Ja Rule alikuwa at the peak lakini baada ya bifu na 50 cent alianguka vibaya sana na Ashanti akawa victim wa bifu hili.
Always on time ilikua unyama sana.
 
Nilikuwa sijaanza shule mjomba wangu akaja kunichukua, siku zote kwenye gari alikuwa anapiga ngoma ya Whats Luv nikawa naiimba kitoto kwa mumbling.

Ni ngoma ya kwanza kabisa ya nje kuisikia.
Husnaaaaaaa dat du dat du beibeee

hilo ndio lilikuwa WIMBO WA TAIFA WA DUNIA

kumbe toto dogo sana 2000s bado hujaanza shule
wakati sie tumekimbia mkoa baada kutia minba mwanafunzi
 
1. The boy is mine - Brandy & Monica
2. Still Dre - Dr Dre & Snoop Dogg
3. Dilemma - Nelly & Kelly
 
Nilikuwa sijaanza shule mjomba wangu akaja kunichukua, siku zote kwenye gari alikuwa anapiga ngoma ya Whats Luv nikawa naiimba kitoto kwa mumbling.

Ni ngoma ya kwanza kabisa ya nje kuisikia.
Dah sie ndio vijana wakati huo na tayari tulikuwa tunazichana kabisa... tattoo in chest with name in middle..kumbe mstari huo nilikua naukosea ila kidogoooo
 
Aisee leo wakati nikipita mitaa ya Youtube nikakutana na ngoma ya always on time, nikajikuta nasikiliza collabo karibu zote za Ashanti na Ja Rule.
Aisee zimenirudisha mbali sana nikiwa primary hizi ngoma nasikiliza sana hata sielewi wanaimba nini.
Kweli wakati ukuta, Ja Rule alikuwa at the peak lakini baada ya bifu na 50 cent alianguka vibaya sana na Ashanti akawa victim wa bifu hili.
Ain't nothing like the 1990s/2000s era, the best ever hapo madude yalipigwa aisee
 
Raha ya ngoma za Zaman uwe na Manzi nae ni Mnyamwezi, mnakaa ndani mnashindan kuweka bangs.... weekend inaenda poa kbs
 
Back
Top Bottom