Hivi kuna data zozote kuhusu ugongwa wa Zika Tanzania?

Hivi kuna data zozote kuhusu ugongwa wa Zika Tanzania?

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Hivi kuna data zozote kuhusu ugongwa wa Zika Tanzania? Ninakumbuka kuwa sababu kubwa iliopolekea hayati dr Mwele kuachishwa kazi Mhimbili ni kutangaza kuwa Tanzania ina wagongwa wenye virusi vya Zika. Baada ya hapo hatukuwahi kusikia lolote tena kuhusu ugonjwa huo. Sasa kwa vile pande zote mbili zilizovutana katika sakata hilo zimeshatangulia mbele ya haki, ninaomba wataalamu wa afya walioko kwenye jukwaa hili watutangazie kwa kutupatia ukweli halisi.
 
Ndiyo nausoma leo ..ngoja nisubiri comments za wataalam
 
Marehemu Mwele kumbe mzush nnimesikia yeye ndie alikuwa anashirikiana na mange kumdhalilisha lemutuz superbrand kuwa Ana miliki kibamia hapa mjini
 
Back
Top Bottom