Hivi kuna Degree, Diploma au Certificate ya Digital Marketing?

Hivi kuna Degree, Diploma au Certificate ya Digital Marketing?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Siku hizi suala la Marketing limehamia mtandaoni, si Tv, magazeti, mabango, wala Radio zinazoweza kushindana na digital katika kutangaza.

Nimekuwa natangaza biashara facebook/insta. Ni msitu mkubwa na changamoto ni nyingi. Na ili upate matokea yote inabidi kuielewa vizuri. Bado najifunza lakini natamani kungekuwa na watu wabobezi waliosomea hizo ishu.

Kuna chuo Tanzania kinatoa kozi ya digital marketing?
 
Chuo ni UDEMY au Coursera.

Au unataka vyeti vya kuombea kazi ?

Je, unaona matangazo ya kazi hizo ?
 
Chuo ni UDEMY au Coursera.

Au unataka vyeti vya kuombea kazi ?

Je, unaona matangazo ya kazi hizo ?
Kuwa certified napo ni vyema. Hizi shule za coursera watu bado hawaziamini sana japo zinatoa elimu nzuri.

Ni vema nchi ikawa na wataalamu wa digital marekting, kila biashara inahitajika kujitangaza. Kuna tofauti kubwa kati ya biashara inayojitangaza na inayotegemea kudra.
 
Kuwa certified napo ni vyema. Hizi shule za coursera watu bado hawaziamini sana japo zinatoa elimu nzuri.

Ni vema nchi ikawa na wataalamu wa digital marekting, kila biashara inahitajika kujitangaza. Kuna tofauti kubwa kati ya biashara inayojitangaza na inayotegemea kudra.
Nadhani labda unataka vyeti vinavyotokana na uvaaji wa majoho.

Ila ukihitaji kujua digital marketing kwaajili ya msaada wako unapata.
 
Nadhani labda unataka vyeti vinavyotokana na uvaaji wa majoho.

Ila ukihitaji kujua digital marketing kwaajili ya msaada wako unapata.
Si sababu ya majoho, nataka tuwe na wataalamu wa hii sekta maana ndiko dunia inaenda. Na mimi baada ya kuanza kutangaza insta nimeona tofauti ya biashara inayojitangaza na isiyojitangaza. Lakini changamoto ni nyingi ndiyo maana naulizia kama kuna wataalamu wa digital marketing.

Siyo mimi ninayetaka kusomea. Umedhani tofauti.
 
Back
Top Bottom