Mshauri afanyaje basi mwambaHAKUNA
Mshauri afanyaje basi mwamba
Akirudi si bado watamkaziaAende uganda akasome huko anachokitaka kukisomea.
Akirudi si bado watamkazia
Tukiwambia msome 5&6 mnajidai kuwa werevu kuliko elimu ya 5&6. Sasa si uishie hapohapo ulipofikia haina haja ya kwenda mbele tafuta ajira.Hivi kuna foundation kozi ya Clinical Officer ili kupandisha GPA?
SawaTukiwambia msome 5&6 mnajidai kuwa werevu kuliko elimu ya 5&6. Sasa si uishie hapohapo ulipofikia haina haja ya kwenda mbele tafuta ajira.
Uganda hmna wao wanataka angalau gpa ya 3.0Aende uganda akasome huko anachokitaka kukisomea.
Alete maksi zake za form 4 au 6 atapewa ushauri.Mshauri afanyaje basi mwamba
Chuo kipi ugandaAende uganda akasome huko anachokitaka kukisomea.