mjasiriamali mdogo
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 258
- 110
Wadau Nataka kununua kigari cha kupigia misele hapa mjini. Yaani Nataka kila niendapo iwe ni mwendo wa kukanyaga Gia Tu.
Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?
Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?