Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yeye hana ulazima kuwa karibu na ndugu wa mumeMambo vipi watu wa Mungu?
Ebana nilikua nauliza,hivi kuna tija au ulazima wowote wa kuwa karibu na ndugu wa mke?
Asanteni
Punguza hasira kakaSio lazima sana mda mwingine mazoea yanazidi .kuna jamaa amemuoa dada yangu huwa simfagilii kabisa.
Kwa nini humfagilii shemeji yako! Na wakati amemuoa dada yako?Sio lazima sana mda mwingine mazoea yanazidi .kuna jamaa amemuoa dada yangu huwa simfagilii kabisa.
Kuna jamaa Jana anemia shemej yake huko morogoro Sasa kumbe bado jamii hii ipoKwa nini humfagilii shemeji yako! Na wakati amemuoa dada yako?
Lijamaa lishajua hulifagilii bas kwenye shoo linampelekea moto dada kama ligiriki yaani sista analifagilia kishenzi.Sio lazima sana mda mwingine mazoea yanazidi .kuna jamaa amemuoa dada yangu huwa simfagilii kabisa.
Nilichokuja kugundua labda lkini huenda viwanaume vifupi ni hatari ka bwashe kangu nikafupi sana lkn ajabu sister haishi kukafagiliaLijamaa lishajua hulifagilii bas kwenye shoo linampelekea moto dada kama ligiriki yaani sista analifagilia kishenzi.
Kwahiyo humkubali mumeo? 😹😹Sio lazima sana mda mwingine mazoea yanazidi .kuna jamaa amemuoa dada yangu huwa simfagilii kabisa.
Mpe makavu😀Sio lazima sana mda mwingine mazoea yanazidi .kuna jamaa amemuoa dada yangu huwa simfagilii kabisa.
Kikwenu aliye muoa dada yako anaoa na kaka zako pia? Kumbe kamfumo kaushoga kalianzia mbali et?Kwahiyo humkubali mumeo? 😹😹
Mjomba ni mama, na shemeji ni mumeo period..!! Hiyo uwe unataka au hutaki, habari ndio hiyo 😹😹😹Kikwenu aliye muoa dada yako anaoa na kaka zako pia? Kumbe kamfumo kaushoga kalianzia mbali et?