SijakuelewaUnapata faida gani baada ya kupata jibu? Mimi ni mpenzi wa movie lakini najaribu kuangalia swali lako linakupa shingapi? Jitahidi usiwe sababu ya umasikini unaoendelea hapa Afrika, maana mawazo haya ni kuendelea kua masikini au kua nawa tu wasiofikiri vzr
Salman kama konde boyHapana... nakusudia Salman Khan ila kwa Salman nimeuliza swali la kinyume cha lile nililouliza kwa Jet
Duh! Una ugomvi na mtoa mada? Siyo kwa mawe haya uliyo mpopoa nayo!!Unapata faida gani baada ya kupata jibu? Mimi ni mpenzi wa movie lakini najaribu kuangalia swali lako linakupa shingapi? Jitahidi usiwe sababu ya umasikini unaoendelea hapa Afrika, maana mawazo haya ni kuendelea kua masikini au kua na watu wasiofikiri vzr
Unapata faida gani baada ya kupata jibu? Mimi ni mpenzi wa movie lakini najaribu kuangalia swali lako linakupa shingapi? Jitahidi usiwe sababu ya umasikini unaoendelea hapa Afrika, maana mawazo haya ni kuendelea kua masikini au kua na watu wasiofikiri vzr