Hivi kuna jinsi ya kuzuia ufa wa kioo cha gari au kuziba?

Hivi kuna jinsi ya kuzuia ufa wa kioo cha gari au kuziba?

trplmike

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
701
Reaction score
777
Kuna kioo cha gari cha mbele.. kilianza kuwa na ufa mdogo.. siku zinavyokwenda ndio ule ufa unazidi kuongezeka.

Je, kuna jinsi ya kuzuia Huu UFA usiendeleee.. au kuna jinsi ya kuziba huu UFA?
 
Kuna kioo cha gari cha mbele.. kilianza kuwa na ufa mdogo.. siku zinavyokwenda ndio ule ufa unazidi kuongezeka..
Jee kuna jinsi ya kuzuia Huu UFA usiendeleee.. au kuna jinsi ya kuziba huu UFA?
Ngoja waje ila nina uhakika ipo dawa ya kuziba ila sijui inapatikana wap
 
Kuna kioo cha gari cha mbele.. kilianza kuwa na ufa mdogo.. siku zinavyokwenda ndio ule ufa unazidi kuongezeka..
Jee kuna jinsi ya kuzuia Huu UFA usiendeleee.. au kuna jinsi ya kuziba huu UFA?
Kuna video moja niwahi kuona wachina wanaweka dawa fulani hivi kama super glue....ufa unapotea....hii teknolijia sijawahi kuiona kwa macho meneo ninyoishi...

Ila kuna wale wauza vioo vya magari, huwa wanatoboa kashimo kadogo pale ufa ulipoishia kisha wanajaza kitu fulani...hapo ufa hauendelei zaidi.....japo kuna Noah ilifanyiwa hivi, baada ya muda ufa ukaendelea..

The best aolution ni kuweka windshield mpya..
 
Kuna video moja niwahi kuona wachina wanaweka dawa fulani hivi kama super glue....ufa unapotea....hii teknolijia sijawahi kuiona kwa macho meneo ninyoishi...

Ila kuna wale wauza vioo vya magari, huwa wanatoboa kashimo kadogo pale ufa ulipoishia kisha wanajaza kitu fulani...hapo ufa hauendelei zaidi.....japo kuna Noah ilifanyiwa hivi, baada ya muda ufa ukaendelea..

The best aolution ni kuweka windshield mpya..
Ok.. asante mkuu kwa taarifa
 
Back
Top Bottom