Hivi kuna kocha bora amewahi kutokea Ulaya kama Jose Mourinho?

Hivi kuna kocha bora amewahi kutokea Ulaya kama Jose Mourinho?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Hivi kuna kocha mwenye mafanikio na mtaalam wa mpira wa ulaya kama Morinyo?

Binafsi ningetamani kuona huyu jamaa anaitwa Sir Jose Mourinho. Maana sioni nimlinganishe na kocha yupi, ni basi tu anatokea kwenye kanchi kadogo ka Ureno ndio maana anakua underated hasa ukizingatia media za Uingereza ndizo zinatamba Duniani ila hakika huyi jamaa angekua muingereza sasa angekua anaitwa majina makubwa sana.

Kwangu mimi na kwa facts Mourinho ndie kocha bora zaid8 kuwahi kutokea Ulaya.
 
unapotaja ubora au udhaifu lazima uweke ulinganifu.
Taja mafanikio yako mfano makombe nk ukilinganisha na wengine ili tukuunge mkonobau tukupige kwa hoja.
Wewe umeongea kimahaba zaidi
 
Hivi kuna kocha mwenye mafanikio na mtaalam wa mpira wa ulaya kama Morinyo?

Binafsi ningetamani kuona huyu jamaa anaitwa Sir Jose Mourinho. Maana sioni nimlinganishe na kocha yupi, ni basi tu anatokea kwenye kanchi kadogo ka Ureno ndio maana anakua underated hasa ukizingatia media za Uingereza ndizo zinatamba Duniani ila hakika huyi jamaa angekua muingereza sasa angekua anaitwa majina makubwa sana.

Kwangu mimi na kwa facts Mourinho ndie kocha bora zaid8 kuwahi kutokea Ulaya.
Weka takwimu kuimarisha hoja yako
 
Mbona taarifa ilitolewa juu ya makocha bora wa muda wote, wa kwanza ni Sir Alex Ferguson
 
Back
Top Bottom