Mbunifu Mwaminifu
Member
- Dec 13, 2012
- 67
- 354
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.
Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.
Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.
Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?