Hivi kuna maandamano yoyote yaliyoitishwa Tanzania juu ya Serikali kisha yakafanikiwa?

Hivi kuna maandamano yoyote yaliyoitishwa Tanzania juu ya Serikali kisha yakafanikiwa?

Joined
Dec 13, 2012
Posts
67
Reaction score
354
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.

Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.

Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
 
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.

Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.

Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
Zanzibar wanajitambua
 
Zanzibar wanajitambua
Kiukweli sijawahi ona hata watu kuandamana kwa ajili ya mtu fulani kukamatwa au kufanyiwa jambo ambalo hakustahili. Zanzibar nakumbuka waliandamana hadi kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, waliwahi kuandamana kwa ajili ya kukamatwa masheikh wa Uamsho. Lakini hapa hata Ney wa Mitego akikamatwa utaskia tu mitandaoni mtu anaandika “Tuko pamoja na wewe kamanda, #FreeNeywaMitego” na vitu vingine. Cha kushangaza sasa, unaweza kutana na maandamano inaratibiwa kwa takriban mwezi lakini siku ya tukio ndio siku ambayo barabarani unakutana na watu wachache kuliko siku zote nyengine.
 
Mimi sifahamu, ila tunachohitaji ni majibu ya hoja zinazowafanya watu watake kuandamana....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.

Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.

Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
Watanzania hawakufunzwa ujinga wa vurugu zisizo na msingi.

Imagine ukaandamane Kwa sababu Lisu amekaidi amri ya Polisi,wewe unaweza?
 
Mimi sifahamu, ila tunachohitaji ni majibu ya hoja zinazowafanya watu watake kuandamana....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kama watanzania hatukubaliani na hayo, ni hatua gani tuchukuwe ikiwa hata kuandamana tunaogopa?
 
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.

Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.

Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
Hakuna sisimizi yeyote kati ya hawa Mdude, Slaa au Mwabukusi ambaye anaweza kuanzisha maandamano.

Watu wako na mishe zao za kutafuta fedha, waache waje waunge hawa malaya wa kisiasa. !! Nani anamuamini Slaa sasa hivi? Mtu ambaye kakataliwa mpaka na familia yake na chama chake
 
Kwa hawa Watanganyika walivyo makondoo? Labda vizazi kuanzia 2060+ maandamano yatafanikiwa
 
Mimi sifahamu, ila tunachohitaji ni majibu ya hoja zinazowafanya watu watake kuandamana....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Haya maswali mpaka sasa hujajibiwa tu?

Wakili msomi Pascal Mayalla saidia hapa.
 
Na wanaohamasisha Watoto wa wenzao waandamane wako Twitter huko na wengine familia zao ziko Nje ya Nchi.

Vijana wajifunze kuacha kutumiwa,mfano mzuri upo hapo Kwa ma hustlers wa Kenya na Ruto wao.
That’s my concern. Mimi hupenda kuongea vitu kwa evidence. Kuna mwaka mmoja Maalim Seif (Mungu amlaze mahala pema) aliitisha maandamano Zanzibar, cha kushangaza na cha ajabu ni kwamba yeye alikuwa kwenye mstari wa mbele kabisa pamoja na mke wake Bi Awena kwenye kutekeleza yale maandamano. Hapa sijawahi kumuona Lissu, Lema wala mshawishi yeyote wa maandamano kuongozana na wananchi aliowaitisha maandamano ili watekeleze hilo jambo kwa pamoja. Zaidi utaona tweets na picha wanapost instagram kupiga kelele.
 
Mwabukusi kafanikiwa sana kuchukua umaarufu wa Kibatala

watu wengi wenye pesa wasio na access ya mawakili wakipata kesi huwa wanakimbilia kwa hawa Wapiga kelele za kisiasa kumbe kwny kesi kule Mahakamani wanagaragazwa daily

sasa hivi Mwambukusi kick ya Bandari na Katiba mpya imemuinua hadi anakaribia kuacha kwny ile chamber iliyomuajiri

Fursa fursana Jamaa kishampindua Kibatala na ndio sababu Kibatala kwny dili la Bandari kaona apige kimya
 
Kwa hawa Watanganyika walivyo makondoo? Labda vizazi kuanzia 2060+ maandamano yatafanikiwa
Na ukiangalia vizuri hata hivyo vizazi vinaweza visiwe na huo uwezo kwa sababu wengi wa watanzania wanafundisha watoto wao kudeal na mambo ya msingi na yenye tija kwao na kujiepusha na vitu ambavyo vinaweza kuwaharibia maisha yao. Sidhani kama kuna mzazi wa Kitanzania anamfundisha mtoto wake siku Serikali ikifanya hivi, unaniona mimi nilichofanya? Nimeingia barabarani kuandamana na kupinga hilo, na wewe unatakiwa uwe hivyo, badala yake wapo wanaowafundisha watoto wao wakae mbali na hayo mambo kwa kutolea mifano ya yanaowakuta baadhi ya watu. Kwa mfano, mzazi anaweza kumwambia mtoto wake, “Mwanangu usije jifanya mjuaji mbele ya mamlaka kwa sababu wazazi wako ni maskini. Fikiria kama yanakukuta kama yaliyomkuta Lissu, unafkiri utabaki hai yakikukuta wewe? Tafuta maisha achana na mambo yasiyo na faida kwako utaishia jela au uuliwe”.
 
Back
Top Bottom