Hivi kuna mdada humu jasiri kama huyu

Haahhaaahh Kasinde Bhana Mie napenda vituko vyako eti.

Now days sizioni posts zako
Hahahaha asantee. Ni kweli nimepotea kidogo sijaweka post humu sababu nilikuwa busy na maandalizi ya kumpokea mgeni.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Vipi nyoka huyu aliwezaje kumdanganya mwanamke kama unamuogopa hivi [emoji15]
Hajawahi kuniuma ila nakiogopa sanaaa usinirudishe tena we mzee wa ureno kwenye huu uzi
 
Nyoka wa kupigia picha pale Meserani huyo yyani snake park
 
Mahaba mdogo wangu, mwisho wa mwaka huu. Nimekamatika kwenye engo thita, Dadii ni motoo hehehehehe
πŸ˜€πŸ˜€ Unashika tu Nyoka asie na macho huko
 
mh hiyo mbona cha mtoto kuna dada huku kwetu anashika nungunungu,kaa,nge,tandu na nyoka aina ya koboko(blackmamba)
 
Sioni ujasiri wake kama nyoka wanawashika sana kunako 6*6
 
ujasiri upi sasa hapo... akati umeshahakikishiwa kuwa joka lenyewe ni la kibisa linakula panya tu ila haligongi
 
Mwanamke na Nyoka Ni Marafiki Toka Wakiwa Kwenye Bustani Ya Eden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…