Miss neddy Jaman hupatagi salam zangu mamy, I wish to be like u
ohooo le madame ndo nazipata leo karibu
Asante sana am so happy
Duh... Hii mada hainihusu ngoja nipite tu.... :car:
hahaha anza kuzifuga bhana
kuna msuko ambao mdada akisukwa kwa Mara ya kwanza hawezi sahau aliyemsuka,unaitwa je jamani Wickama miss chagga
kuna msuko ambao mdada akisukwa kwa Mara ya kwanza hawezi sahau aliyemsuka,unaitwa je jamani Wickama miss chagga