Hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa anaweza kushawishiwa na Dkt. Wilbroad Peter Slaa?

Hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa anaweza kushawishiwa na Dkt. Wilbroad Peter Slaa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwamfano,

Nani anaweza kumuamini Dr. Slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?

Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee Wilbroad Peter Slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr. Slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?

Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. Wilbroad Peter Slaa hata kwa fedha akakubali kweli?

Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.

Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza tu, hivi zaidi ya Karatu nyumbani kwao, Dr Slaa anafahamika kweli nje ya karatu?

una maoni gani 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Kwamfano,
nani anaweza kumuamini Dr.slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?

Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee wilbroad peter slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr.slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?

Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. wilbroad peter slaa hata kwa fedha akakubali kweli?

Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.

Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza zaidi ya karatu nyumbani kwao, Dr slaa anafamika kweli nje ya karatu?

una maoni gani 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Alimsaliti nani? Yeye alizunguka tanzania nzima akiwa na wanachadema wenzake wakisema lowassa ni fisadi, lowassa anafaa kupigwa mawe, lowassa wamekula nchi kwa mikataba ya kifisadi.

Halafu mtu huyo huyo ambaye wamemsema kuwa ni fisadi kwa zaidi ya miaka 6 chama chake kinataka kumpa nafasi ya kugombea urais, akaamua kujitoa kwenye ukigeugeu.

Kwa mtu mwenye akili timamu bila shaka Dr Slaa ndiye mtu wa kuaminika zaidi maana alisimamia kile alichokihubiri kwa miaka sita kuliko wengine wote ambao walipiga u-turn kiasi wkamba ni ngumu sasa kujua ni wakati gani wanazungumza ukweli au uongo.

Kama mtu kwa miaka sita walisema ni fisadi, wana ushahidi, na ndani ya siku moja wakasema anafaa kuwa rais na mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wao walituaminisha ushahidi wanao, je, ni mambo mangapi huwa wanayasema bila ushahidi au kwa kutuongopea?

Dr. Slaa alisimamia msimamo wake. Na aliyeongoza kumkandia leo hii bwana Ngwajima ndiye mbunge wa CCM Kawe
 
Kwamfano,

Nani anaweza kumuamini Dr.slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?

Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee wilbroad peter slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr.slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?

Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. wilbroad peter slaa hata kwa fedha akakubali kweli?

Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.

Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza tu, hivi zaidi ya karatu nyumbani kwao, Dr slaa anafahamika kweli nje ya karatu?

una maoni gani 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
wapo wengi sana, sio slaa tu hata msigwa. kwa sababu msigwa na slaa walishaonja umafia wa mbowe na hawakutamani kuondoka chadema,walitamani kubaki ila umafia wake ndio uliwafanya wakimbilie kwa adui na hata hao hao wajumbe wanaujua umafia wa DJ na wanajua kuna siku yatawakuta, sasa bora aondoke aje mtu mwanasheria anayeweza kuongoza chama kwa misingi mizuri na si siasa za ukanda na umwinyi.
 
Alimsaliti nani? Yeye alizunguka tanzania nzima akiwa na wanachadema wenzake wakisema lowassa ni fisadi, lowassa anafaa kupigwa mawe, lowassa wamekula nchi kwa mikataba ya kifisadi...
Halafu mtu huyo huyo ambaye wamemsema kuwa ni fisadi kwa zaidi ya miaka 6 chama chake kinataka kumpa nafasi ya kugombea urais, akaamua kujitoa kwenye ukigeugeu... Kwa mtu mwenye akili timamu bila shaka Dr Slaa ndiye mtu wa kuaminika zaidi maana alisimamia kile alichokihubiri kwa miaka sita kuliko wengine wote ambao walipiga u-turn kiasi wkamba ni ngumu sasa kujua ni wakati gani wanazungumza ukweli au uongo.
Kama mtu kwa miaka sita walisema ni fisadi, wana ushahidi, na ndani ya siku moja wakasema anafaa kuwa rais na mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wao walituaminisha ushahidi wanao, je, ni mambo mangapi huwa wanayasema bila ushahidi au kwa kutuongopea?
Dr. Slaa alisimamia msimamo wake. Na aliyeongoza kumkandia leo hii bwana Ngwajima ndiye mbunge wa CCM Kawe
Laana ya usaliti na tamaa ndivyo vinavyomtafuna huyo Mzee gentleman,

zingatia hoja ya mdau hapa chini ambayo ni miongoni mwa laana zinazomtafuna huyo Mzee 🐒
Mtu aliyesaliti wito WA imani yake muogope sana!!
Gentleman,
umegusa kwenye mshono kabisa,

eti muungwana hapo juu haelewi au huenda anafanya kusudi,

well done 💪👊
 
Mtu aliyesaliti wito WA imani yake muogope sana!!
Afadhali aliona uzalendo umemshinda akajichomoa kuliko wale ambao wana watoto na familia nje wakiwa mapadri. WAtanzania tunapenda unafiki na kuigiza.
Nadhani bila shaka Mungu anaweza kumsamehe aliyeamua kujiondoa kwenye upadri kwa kuona umemshinda kuliko yule anayeendelea kuzini akijifanya hana mke wala mtoto mbele ya madhabahu yake.
 
wapo wengi sana, sio slaa tu hata msigwa. kwa sababu msigwa na slaa walishaonja umafia wa mbowe na hawakutamani kuondoka chadema,walitamani kubaki ila umafia wake ndio uliwafanya wakimbilie kwa adui na hata hao hao wajumbe wanaujua umafia wa DJ na wanajua kuna siku yatawakuta, sasa bora aondoke aje mtu mwanasheria anayeweza kuongoza chama kwa misingi mizuri na si siasa za ukanda na umwinyi.
Lakini Mzee slaa aliwafanyia umafia kanisa, ndoa, chadema na CCM, unaweza kujifunza nini kutoka kwake sasa?🐒
 
Lakini Mzee slaa aliwafanyia umafia kanisa, ndoa, chadema na CCM, unaweza kujifunza nini kutoka kwake sasa?🐒
Alifanya umafia gani mzee kanyooka kama rula. Alijitoa kwenye upadri hakutaka kuwa mnafiki awe kama mapadri wengine wanakula nje na watoto juu wakijificha. Yeye akaona wito umemshinda na hataki kuwaongopea raia.
Same kwa chadema aliona hivi mtu ambaye nimezunguka tanzania nzima nikisema ni fisadi leo hii nasemaje si fisadi wakati niliwambia watu tunao ushahidi?
Siku nyingine watu wenye akili timamu akwiambia kitu ni ngumu kuamini. Kwanza ni vile watanzania sijui hatuna akili timamu, ilipaswa chadema kwa sasa isiaminike baada ya kutwambia lowassa ni fisadi wana ushahidi halafu baadaye wakasema si fisadi after six years na kusema hawana ushahidi mwenye nao aupeleke mahakamani.
 
CCM huu uchaguzi unawapelekesha kuliko sisi wanachadema wenyewe. Mnatangatanga Sana.

Huyu slaa si ndiyo nyie CCM mlitawanya mahojiano yake nchi nzima akiiponda CHADEMA wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015?

Mmesahau mlimwandalia mpaka mkutano na waandishi wa habari na Harrison Mwakyembe akadai kampa ushahidi wa ziada wa sakata la Richmond?
 
Lakini Mzee slaa aliwafanyia umafia kanisa, ndoa, chadema na CCM, unaweza kujifunza nini kutoka kwake sasa?🐒
kati ya vitu vilimsumbua mno slaa hadi akabadilika akili akawa na akili ya ccm, ni kuondoka chadema, ilimsumbua sana na ilimuumiza sana na alienda kule kama kuokoa maisha yake kwa sababu dj anamjua, angempoteza, na hadi alienda kuomba ulinzi wa serikali si mcheno, alijua waliyokuwa wanayafanya na dj enzi hizo. slaa kwa uwezo wa kuongea na kujenga chama huwezi kumtofautisha sana na lisu. sote tunajua enzi za slaa chama kilikuwaje, kilikuwa na nguvu mno ya umma, na watu wanataka lisu arudi ili hali ile irudi. ile ilikuwa miaka ambayo chadema walikuwa na wabunge wa maana tena wa kuchaguliwa. ila huyu dj anachojua ni maslahi yake tu.
 
Alifanya umafia gani mzee kanyooka kama rula. Alijitoa kwenye upadri hakutaka kuwa mnafiki awe kama mapadri wengine wanakula nje na watoto juu wakijificha. Yeye akaona wito umemshinda na hataki kuwaongopea raia.
Same kwa chadema aliona hivi mtu ambaye nimezunguka tanzania nzima nikisema ni fisadi leo hii nasemaje si fisadi wakati niliwambia watu tunao ushahidi?
Siku nyingine watu wenye akili timamu akwiambia kitu ni ngumu kuamini. Kwanza ni vile watanzania sijui hatuna akili timamu, ilipaswa chadema kwa sasa isiaminike baada ya kutwambia lowassa ni fisadi wana ushahidi halafu baadaye wakasema si fisadi after six years na kusema hawana ushahidi mwenye nao aupeleke mahakamani.
si alichomoka na mkwanja wa michango ya sadaka za watu,
akaozeshwa mke hakutosheka akapora mke wa watu huo unaweza kuuita usaliti, wizi au uporaji?🐒

huko chadema na CCM alikokwenda roho ya usaliti itaendelea kumtafuna,

Kiujumla mzee ni mbinafsi mno 🐒
 
Alimsaliti nani? Yeye alizunguka tanzania nzima akiwa na wanachadema wenzake wakisema lowassa ni fisadi, lowassa anafaa kupigwa mawe, lowassa wamekula nchi kwa mikataba ya kifisadi...
Halafu mtu huyo huyo ambaye wamemsema kuwa ni fisadi kwa zaidi ya miaka 6 chama chake kinataka kumpa nafasi ya kugombea urais, akaamua kujitoa kwenye ukigeugeu... Kwa mtu mwenye akili timamu bila shaka Dr Slaa ndiye mtu wa kuaminika zaidi maana alisimamia kile alichokihubiri kwa miaka sita kuliko wengine wote ambao walipiga u-turn kiasi wkamba ni ngumu sasa kujua ni wakati gani wanazungumza ukweli au uongo.
Kama mtu kwa miaka sita walisema ni fisadi, wana ushahidi, na ndani ya siku moja wakasema anafaa kuwa rais na mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wao walituaminisha ushahidi wanao, je, ni mambo mangapi huwa wanayasema bila ushahidi au kwa kutuongopea?
Dr. Slaa alisimamia msimamo wake. Na aliyeongoza kumkandia leo hii bwana Ngwajima ndiye mbunge wa CCM Kawe
Na Kwa nn alienda kwenye Chama alichokua anatuambia kimeoza kabsa na kinafaa kubadilishwa??
 
kati ya vitu vilimsumbua mno slaa hadi akabadilika akili akawa na akili ya ccm, ni kuondoka chadema, ilimsumbua sana na ilimuumiza sana na alienda kule kama kuokoa maisha yake kwa sababu dj anamjua, angempoteza, na hadi alienda kuomba ulinzi wa serikali si mcheno, alijua waliyokuwa wanayafanya na dj enzi hizo. slaa kwa uwezo wa kuongea na kujenga chama huwezi kumtofautisha sana na lisu. sote tunajua enzi za slaa chama kilikuwaje, kilikuwa na nguvu mno ya umma, na watu wanataka lisu arudi ili hali ile irudi. ile ilikuwa miaka ambayo chadema walikuwa na wabunge wa maana tena wa kuchaguliwa. ila huyu dj anachojua ni maslahi yake tu.
For sure,
ukisaliti wengine kivyovyote vile, nawe utasalitiwa tu,

na hiki ndicho haswa anachopitia huyu Mzee mbinafsi anaeshinda spaces kudanyanyana na vijana ambao hawana ushawishi wowote ndani na nje ya nchi kisiasa 🐒
 
Na Kwa nn alienda kwenye Chama alichokua anatuambia kimeoza kabsa na kinafaa kubadilishwa??
Hakuna aliposema amejiunga na CCM wala kuhudhuria mikutano ya CCM kama msigwa. Alipewa ubarozi lakini ubarozi si kazi ya wana ccm pekee. Mpaka sasa Slaa hajawahi kusema amejiunga na chama chochote.
 
Kwamfano,

Nani anaweza kumuamini Dr.slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?

Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee wilbroad peter slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr.slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?

Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. wilbroad peter slaa hata kwa fedha akakubali kweli?

Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.

Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza tu, hivi zaidi ya karatu nyumbani kwao, Dr slaa anafahamika kweli nje ya karatu?

una maoni gani 🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Hivi Kuna mwana Jamii forum ambaye Huwa anaeelewa na kushawishiwa na MATAPISHI Yako???

nadhani umepata jibu.

🤔🤔🚴🚴🚴
 
CCM huu uchaguzi unawapelekesha kuliko sisi wanachadema wenyewe. Mnatangatanga Sana.

Huyu slaa si ndiyo nyie CCM mlitawanya mahojiano yake nchi nzima akiiponda CHADEMA wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015?

Mmesahau mlimwandalia mpaka mkutano na waandishi wa habari na Harrison Mwakyembe akadai kampa ushahidi wa ziada wa sakata la Richmond?
kwasababu ya tamaa ya fedheha, vyeo na uninafsi wa kupindukia,

unaweza ukamuelekeza huyu Mzee msaliti kufanya chochote ilimradi kuna shekeli mezani,

Infact,
ndio maana diasporas wanamuhangaisha maskini ya Mungu bila kujua field, haaminiki wala haeleweki,

history ya usaliti, tamaa na uninafsi ndivyo haswaa jamii inavijua dhidi yake

Hakuna wa kushawishika na unafiki wake wa sasa 🐒
 
Hakuna aliposema amejiunga na CCM wala kuhudhuria mikutano ya CCM kama msigwa. Alipewa ubarozi lakini ubarozi si kazi ya wana ccm pekee. Mpaka sasa Slaa hajawahi kusema amejiunga na chama chochote.
kwahiyo alikua anafanya kazi kwenye Serikali sikivu ya CCM right?

kwani hapo kabla alikua akiinanga na kuitukana CCM au Serikali sikivu ya CCM ambayo alikua akifanya kazi ndani yake?🤣
 
Afadhali aliona uzalendo umemshinda akajichomoa kuliko wale ambao wana watoto na familia nje wakiwa mapadri. WAtanzania tunapenda unafiki na kuigiza.
Nadhani bila shaka Mungu anaweza kumsamehe aliyeamua kujiondoa kwenye upadri kwa kuona umemshinda kuliko yule anayeendelea kuzini akijifanya hana mke wala mtoto mbele ya madhabahu yake.
Gentleman,
nadhan tunajifunza athari za uninafsi, tamaa na usaliti wa wazi wazi zilivyo madhara maishani,

yaani zinakufuata kila mahali iwe kwenye ndoa, kazi au siasa 🤣
 
Wewe mwenyewe mzee mzima kutwa upo Jamii Forums, tofauti ni nini!?,au ndo yaleyale ya nyani haoni kundule!??
nenda moja kwa moja gentleman,
ili kusudi kujifunza athari na madhara ya usaliti, tamaa na uninafsi kwenye maisha ya ndoa, kazi na siasa,

huyo Mzee ni darasa zuri sana la matokeo ya usaliti na tamaa 🐒
 
Back
Top Bottom