Hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa anaweza kushawishiwa na Dkt. Wilbroad Peter Slaa?

Nasikia harufu ya MAFII πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸš΄πŸš΄πŸš΄
 
kwahiyo alikua anafanya kazi kwenye Serikali sikivu ya CCM right?

kwani hapo kabla alikua akiinanga na kuitukana CCM au Serikali sikivu ya CCM ambayo alikua akifanya kazi ndani yake?🀣
Kwa sababu serikali inayoongozwa na ccm ni kwa ajili ya watanzania wote hivyo kila mtu anaweza kuifanyia kazi.
 
Umemjibu vema huyo chawa
 
Kwa sababu serikali inayoongozwa na ccm ni kwa ajili ya watanzania wote hivyo kila mtu anaweza kuifanyia kazi.
hakunaga nusu mkate Tanzania.
watumishi wote wa umma ni waajiriwa wa Serikali sikivu ya CCM,

hakuna haja ya kubabaika gentleman πŸ’
 
CCM inaungwa mkono na watu ambao ni rahisi kughilibiwa.
kama wasaliti, wabinafsi na wenye tamaa kama Mzee slaa, right?

kwamba CCM ni kimbilio, faraja na tumaini la waliokataliwa kwingineko right?

Meaning kwamba CCM ina accommodate waTanzania wote bila ubaguzi right, gentleman?πŸ’
 
hakunaga nusu mkate Tanzania.
watumishi wote wa umma ni waajiriwa wa Serikali sikivu ya CCM,

hakuna haja ya kubabaika gentleman πŸ’
Na wote wanalipwa kwa kodi za watanzania wote bila kujalisha chama.
 
Na wote wanalipwa kwa kodi za watanzania wote bila kujalisha chama.
kodi na mapato ambayo yanakusanywa kwa bidii sana na weledi wa kiwango cha juu mno na mamlaka zilizo chini ya Serikali sikivu ya CCM, iliyopewa dhamana ya kuongoza nchi na umma wa waTanzania wote, right , gentleman?πŸ’
 
Tuletee clip ya lissu akimzingumzia lowassa mara baada ya kumpokea chamani apeperushe bendera.
 
Tuletee clip ya lissu akimzingumzia lowassa mara baada ya kumpokea chamani apeperushe bendera.
Ilete wewe uliyetaha kuhusu lissu kumzungumzia lowassa baada ya kupokelewa chamani maana hakuna sehemu nimesema hilo.
 
Ilete wewe uliyetaha kuhusu lissu kumzungumzia lowassa baada ya kupokelewa chamani maana hakuna sehemu nimesema hilo.
Sijasema umesema hivyo ewe nyumbu wa lissu, nimesema hivyo Ili kuunganisha dots ktk hoja kuu iliyopo kwenye mada. Tunazungumzia ugeugeu hapa..........je, huyo si miongoni mwao?!!! Alisema nn kuhusu lowassa kabla na baada ya kujiunga nao 2015?
 
Mzee wa hovyo wa CCM huna ajenda zaidi ya CHADEMA? Angalia like moja wamekuona una matatizo
 
Kwa hili sekeseke la Mbowe, Dk Slaa anaweza kushawishi watu mfano anakuwa anawaeleza wajumbe kuwa , aliamua kukaa pembeni kwa sababu Chairman aliwauza na akaona asihatarishe maisha yake, ila sasa amerud kuongeza nguvu kwa sababu wamepatikana wapigania mabadiliko wengine ndani ya chama!
 
Slaa ni babu
Cost jinga

Yaani alisha toka Chadema miaka kibao lakini muda wote ana jadili Chadema, hadi nasikia ndie kampeini meneja wa mropokaji Lissu, asie na staha
Najiuliza Slaa alisahau nini Chadema? Maana aliondoka na demu wake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…