Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Nasikia harufu ya MAFII π€£π€£πππ΄π΄π΄kwasababu ya tamaa ya fedheha, vyeo na uninafsi wa kupindukia,
unaweza ukamuelekeza huyu Mzee msaliti kufanya chochote ilimradi kuna shekeli mezani,
Infact,
ndio maana diasporas wanamuhangaisha maskini ya Mungu bila kujua field, haaminiki wala haeleweki,
history ya usaliti, tamaa na uninafsi ndivyo haswaa jamii inavijua dhidi yake
Hakuna wa kushawishika na unafiki wake wa sasa π
Kwa sababu serikali inayoongozwa na ccm ni kwa ajili ya watanzania wote hivyo kila mtu anaweza kuifanyia kazi.kwahiyo alikua anafanya kazi kwenye Serikali sikivu ya CCM right?
kwani hapo kabla alikua akiinanga na kuitukana CCM au Serikali sikivu ya CCM ambayo alikua akifanya kazi ndani yake?π€£
Umemjibu vema huyo chawaAfadhali aliona uzalendo umemshinda akajichomoa kuliko wale ambao wana watoto na familia nje wakiwa mapadri. WAtanzania tunapenda unafiki na kuigiza.
Nadhani bila shaka Mungu anaweza kumsamehe aliyeamua kujiondoa kwenye upadri kwa kuona umemshinda kuliko yule anayeendelea kuzini akijifanya hana mke wala mtoto mbele ya madhabahu yake.
hakunaga nusu mkate Tanzania.Kwa sababu serikali inayoongozwa na ccm ni kwa ajili ya watanzania wote hivyo kila mtu anaweza kuifanyia kazi.
kama wasaliti, wabinafsi na wenye tamaa kama Mzee slaa, right?CCM inaungwa mkono na watu ambao ni rahisi kughilibiwa.
Na wote wanalipwa kwa kodi za watanzania wote bila kujalisha chama.hakunaga nusu mkate Tanzania.
watumishi wote wa umma ni waajiriwa wa Serikali sikivu ya CCM,
hakuna haja ya kubabaika gentleman π
kodi na mapato ambayo yanakusanywa kwa bidii sana na weledi wa kiwango cha juu mno na mamlaka zilizo chini ya Serikali sikivu ya CCM, iliyopewa dhamana ya kuongoza nchi na umma wa waTanzania wote, right , gentleman?πNa wote wanalipwa kwa kodi za watanzania wote bila kujalisha chama.
Tuletee clip ya lissu akimzingumzia lowassa mara baada ya kumpokea chamani apeperushe bendera.Alimsaliti nani? Yeye alizunguka tanzania nzima akiwa na wanachadema wenzake wakisema lowassa ni fisadi, lowassa anafaa kupigwa mawe, lowassa wamekula nchi kwa mikataba ya kifisadi.
Halafu mtu huyo huyo ambaye wamemsema kuwa ni fisadi kwa zaidi ya miaka 6 chama chake kinataka kumpa nafasi ya kugombea urais, akaamua kujitoa kwenye ukigeugeu.
Kwa mtu mwenye akili timamu bila shaka Dr Slaa ndiye mtu wa kuaminika zaidi maana alisimamia kile alichokihubiri kwa miaka sita kuliko wengine wote ambao walipiga u-turn kiasi wkamba ni ngumu sasa kujua ni wakati gani wanazungumza ukweli au uongo.
Kama mtu kwa miaka sita walisema ni fisadi, wana ushahidi, na ndani ya siku moja wakasema anafaa kuwa rais na mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wao walituaminisha ushahidi wanao, je, ni mambo mangapi huwa wanayasema bila ushahidi au kwa kutuongopea?
Dr. Slaa alisimamia msimamo wake. Na aliyeongoza kumkandia leo hii bwana Ngwajima ndiye mbunge wa CCM Kawe
Ilete wewe uliyetaha kuhusu lissu kumzungumzia lowassa baada ya kupokelewa chamani maana hakuna sehemu nimesema hilo.Tuletee clip ya lissu akimzingumzia lowassa mara baada ya kumpokea chamani apeperushe bendera.
Sijasema umesema hivyo ewe nyumbu wa lissu, nimesema hivyo Ili kuunganisha dots ktk hoja kuu iliyopo kwenye mada. Tunazungumzia ugeugeu hapa..........je, huyo si miongoni mwao?!!! Alisema nn kuhusu lowassa kabla na baada ya kujiunga nao 2015?Ilete wewe uliyetaha kuhusu lissu kumzungumzia lowassa baada ya kupokelewa chamani maana hakuna sehemu nimesema hilo.
Kwa hili sekeseke la Mbowe, Dk Slaa anaweza kushawishi watu mfano anakuwa anawaeleza wajumbe kuwa , aliamua kukaa pembeni kwa sababu Chairman aliwauza na akaona asihatarishe maisha yake, ila sasa amerud kuongeza nguvu kwa sababu wamepatikana wapigania mabadiliko wengine ndani ya chama!Kwamfano,
Nani anaweza kumuamini Dr. Slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?
Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee Wilbroad Peter Slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr. Slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?
Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. Wilbroad Peter Slaa hata kwa fedha akakubali kweli?
Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.
Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza tu, hivi zaidi ya Karatu nyumbani kwao, Dr Slaa anafahamika kweli nje ya karatu?
una maoni gani π
Mungu Ibarki Tanzania
Cost jingaKwamfano,
Nani anaweza kumuamini Dr. Slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali?
Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya hadhara kwamba role model na mentor wake kisiasa na kimaisha ni Mzee Wilbroad Peter Slaa? kuna la kujifunza kutoka kwa Dr. Slaa zaidi ya tamaa, uchu wa vyeo na usaliti?
Ukweli usemwe tu ndugu wadau, hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa chadema Taifa anaweza kushawishiwa na Dr. Wilbroad Peter Slaa hata kwa fedha akakubali kweli?
Naona wengi wanampuuza tu siku hizi, kwasababu haijulikani anafanya siasa au harakati za kibinafsi kwa maslahi ya nani Na muda sio mrefu hata diasporas wanaomfadhili watamchoka na kumdump, kwasababu hana ushawishi kabisa field.
Mzee mzima kutwa kuchwa yupo spaces tu kama mzururaji asie na ajira vile, anajadliana mambo yale yale, na watu wale wale, huku vitu vikiwa ni vile vile. Najiuliza tu, hivi zaidi ya Karatu nyumbani kwao, Dr Slaa anafahamika kweli nje ya karatu?
una maoni gani π
Mungu Ibarki Tanzania