Hivi kuna Mkatoliki anayeweza kupingana na TEC kwasababu ya mamlaka Yake?

Hivi kuna Mkatoliki anayeweza kupingana na TEC kwasababu ya mamlaka Yake?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kwa Wakatoliki, mapadre na maaskofu ni watu muhimu mno kiimani. Pamoja na malezi mengine, watu hawa ndiyo ambao huwaongoza wakatoliki katika sala ya toba na kutoa tamko la msamaha wa dhambi.

Ifahamike ya kwamba hakuna mkatoliki makini anayeweza kupingana na mababa wake wa kiimani, hayupo. Hata kama umemwajiri na anakwambia "tuko pamoja" jua kuwa kipaumbele chake ni kufika mbinguni hivyo atakaye sikilizwa na kuheshimiwa ni mwenye password ya kumfikisha peponi.

Habari njema ni kuwa maelekezo yanayoendelea kutolewa kwa wiki 6 mfululizo si maoni, bali ni msimamo wa viongozi wenye password za mbinguni, mahali ambapo kila mkatoliki anatamani kufika na kula mema ya huko.

Asomaye na afahamu.
 
Kimsingi hakuna binadamu mwenye password ya kuingia mbinguni kwa binadamu mwenzake, hiyo kitu anayo muumini kwa imani yake. Ile ni taasisi kubwa ya kiimani hakuna muumini wake atakayepingana waziwazi hata kama anaujua ukweli. Kwenda kinyume ni uasi kutapelekea utengwe ushirika au ufukuzwe kabisa kuwa muumini
 
Dili la BANDARI limekutoka, kumbafu sana wewe🤣🤣
 
Kwetu kuna kitu wanaita hairaikia. Yaan maelekezo yanatoka juu. Hayarud weither unataka au hutaki
 
Back
Top Bottom