Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema zuchu kama ana mashairi mazuri yaani naona kama ni mtunzi anataka kufanana na mboso sauti anayo ila yammy ana sauti nzuriKwamba humjui Zuchu? Kwamba hujawahi kabisa kumsikiliza? Au sijaelewa swali?
Kwa lolote lile iwe uandishi au sauti nzuri, kwa wasanii wa kike hakuna kama Zuchu hii east Africa and centralsema zuchu kama ana mashairi mazuri yaani naona kama ni mtunzi anataka kufanana na mboso sauti anayo ila yammy ana sauti nzuri
Kumbe Una akili kiasi hichi kunywa soda ntalipa [emoji16][emoji23]Kwa lolote lile iwe uandishi au sauti nzuri, kwa wasanii wa kike hakuna kama Zuchu hii east Africa and central
She is a pure talent
Zuchu is the bestKumbe Una akili kiasi hichi kunywa soda ntalipa [emoji16][emoji23]