Hivi kuna mtumishi wa umma aliyepokea barua ya kupandishwa daraja mpaka sasa?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Mambo yasiwe mengi ngoja niweke mada mezani.
Hivi kuna mtumishi wa umma aliyepokea barua ya kupandishwa daraja mpaka sasa tangu tulipoahidiwa May 1, 2021?
 
Kuna wakati hua tunaongea ili watu wafulahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…