Hivi Kuna mwalimu amewahi kuomba extra duty allowance akanyimwa ?

Hivi Kuna mwalimu amewahi kuomba extra duty allowance akanyimwa ?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Kila mwajiriwa anamjua mwajiri wake, hata walimu bila mashaka wanamfahamu mwajiri wao. Nadhani wengi wako chini ya wakurugenzi wa halmashauri wanazofanyia kazi.

Sheria za kazi ziko wazi kabisa, kuwa masaa ya kazi ni 8 , na mtu akifanya ziada alipwe ziada.

Je, walimu wa zamu ambao huwa wa mwisho kuondoka shuleni, wengine mpaka usiku huwazungukia wanafunzi especially shule za bweni, walimu wanaofanya kazi zingine za ziada wamewahi kuandika dokezo la kuomba pesa ya muda wa ziada na kunyimwa?

Niwakumbushe tu walimu , kwamba overtime allowance ni haki ya kila mfanyakazi duniani bila kujali kitengo chake, ila lazima mtambue kuwa kila mwajiri malengo yake ni kusave pesa ili ikamsaidie kutatua tatizo jingine ndani ya ofisi yake. Hivyo basi kudai maslahi ni vita sehemu yoyote.

Hata huku kwenye mashirika ya umma tumepambana mpaka sasa kila mwajiri anayekuja anakuta tamaduni za kulipa nauli, lunch, overtime ni za kawaida na hana uwezo wa kuzuia hata kama hapendezwi na hiyo mifumo.
 
Kama mwalimu anafosi wanafunzi waje mpaka jumapili unafikiri hawa akili ya overtime payment wanayo? Haya ni makopo ya chooni mkuuuu looooh bullshit [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Habari!
Kila mwajiriwa anamjua mwajiri wake, hata walimu bila mashaka wanamfahamu mwajiri wao. Nadhani wengi wako chini ya wakurugenzi wa halmashauri wanazofanyia kazi.
Sheria za kazi ziko wazi kabisa, kuwa masaa ya kazi ni 8 , na mtu akifanya ziada alupwe ziada.
Je, walimu wa zamu ambao huwa wa mwisho kuondoka shuleni, wengine mpaka usiku huwazungukia wanafunzi especially shule za bweni, walimu wanaofanya kazi zingine za ziada wamewahi kuandika dokezo la kuomba pesa ya muda wa ziada na kunyimwa?
Niwakumbushe tu walimu , kwamba overtime allowance ni haki ya kila mfanyakazi duniani bila kujali kitengo chake.
Ndio maana bara la Afrika haliendelei. Wanaowafundisha watu wanaotarajiwa kuiongoza Serikali hulaaniwa hata kabla ya kumaliza chekechea. Ualimu unaonekana kama ni kazi ya watu waliofeli. Bahati mbaya sana sifanyi kazi hiyo lakini huu upuuzi wa kufanyishana kazi zaidi ya saa 8, tena bila kuzingatia sheria ni ujuha mkubwa.
#KATAAUHUNIONDOACCM2025
 
Ndio maana bara la Afrika haliendelei. Wanaowafundisha watu wanaotarajiwa kuiongoza Serikali hulaaniwa hata kabla ya kumaliza chekechea. Ualimu unaonekana kama ni kazi ya watu waliofeli. Bahati mbaya sana sifanyi kazi hiyo lakini huu upuuzi wa kufanyishana kazi zaidi ya saa 8, tena bila kuzingatia sheria ni ujuha mkubwa.
#KATAAUHUNIONDOACCM2025
Noted
 
Ndio maana bara la Afrika haliendelei. Wanaowafundisha watu wanaotarajiwa kuiongoza Serikali hulaaniwa hata kabla ya kumaliza chekechea. Ualimu unaonekana kama ni kazi ya watu waliofeli. Bahati mbaya sana sifanyi kazi hiyo lakini huu upuuzi wa kufanyishana kazi zaidi ya saa 8, tena bila kuzingatia sheria ni ujuha mkubwa.
#KATAAUHUNIONDOACCM2025
Mbona sekta zingine wanalipwa overtime na benefits zingine?
Tatizo si CCM, tatizo ni wafanyakazi wenyewe
 
Habari!
Kila mwajiriwa anamjua mwajiri wake, hata walimu bila mashaka wanamfahamu mwajiri wao. Nadhani wengi wako chini ya wakurugenzi wa halmashauri wanazofanyia kazi.
Sheria za kazi ziko wazi kabisa, kuwa masaa ya kazi ni 8 , na mtu akifanya ziada alipwe ziada.
Je, walimu wa zamu ambao huwa wa mwisho kuondoka shuleni, wengine mpaka usiku huwazungukia wanafunzi especially shule za bweni, walimu wanaofanya kazi zingine za ziada wamewahi kuandika dokezo la kuomba pesa ya muda wa ziada na kunyimwa?
Niwakumbushe tu walimu , kwamba overtime allowance ni haki ya kila mfanyakazi duniani bila kujali kitengo chake, ila lazima mtambue kuwa kila mwajiri malengo yake ni kusave pesa ili ikamsaidie kutatua tatizo jingine ndani ya ofisi yake. Hivyo basi kudai maslahi ni vita sehemu yoyote. Hata huku kwenye mashirika ya umma tumepambana mpaka sasa kila mwajiri anayekuja anakuta tamaduni za kulipa nauli, lunch, overtime ni za kawaida na hana uwezo wa kuzuia hata kama hapendezwi na hiyo mifumo.
Dah nahisi hakuna aliyewahi kuombea EDA. Ila atambaje na Hali halimashauri wapo mchwa wanakula Hadi Bati
 
Kwenye ualimu tatzo wengi ni vilaza, tena the most vilaza.
Hata ukipinga chochote kinachoitwa mikakati ya kuondoa zero unitwa muasi na majina mabaya yote unapewa.

Mtiti wa kupinga kufundisha wakati wa rikizo, na remidial nilikomaa alone shule x nikaambulia kuhamishiwa pori ingawa waliponipa hela ya uhamisho nikaitumia kujirudisha mjin.
Ticha mpwayungu at el, endeleea kupga spana kila nusu saa weka uzi. Tutabdlika tu.

Unakuta ticha moka ya mtumba na suruali ya kitambaa size 20 mguuni na shati lenye kishkizo kipana mkononi kama sare ya kwaya ya aict kambarage. Halafu amebeba tecno na ananuka mdomo kama mzoga wa mbwa.

Pgeni spana hadi ubongo ukae sawa.
 
Kwenye ualimu tatzo wengi ni vilaza, tena the most vilaza.
Hata ukipinga chochote kinachoitwa mikakati ya kuondoa zero unitwa muasi na majina mabaya yote unapewa.

Mtiti wa kupinga kufundisha wakati wa rikizo, na remidial nilikomaa alone shule x nikaambulia kuhamishiwa pori ingawa waliponipa hela ya uhamisho nikaitumia kujirudisha mjin.
Ticha mpwayungu at el, endeleea kupga spana kila nusu saa weka uzi. Tutabdlika tu.

Unakuta ticha moka ya mtumba na suruali ya kitambaa size 20 mguuni na shati lenye kishkizo kipana mkononi kama sare ya kwaya ya aict kambarage. Halafu amebeba tecno na ananuka mdomo kama mzoga wa mbwa.

Pgeni spana hadi ubongo ukae sawa.
Asante, tulia naandaa uzi mmoja matata sana kudadeki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Walimu wenye njaa tupu hawajui hata haki zao zinaanzia na kuishia wapi. Unakuta mwalimu mkuu/mkuu wa shule anapangia kazi za ziada mpaka jumamosi kwa kutaka sifa kwa maofisa wa juu bila kuwapa allowance. Mi kama mwalimu ninayetambua haki zangu huwa sifanyi kazi extra time bila posho yake. Sifanyi kazi mpaka jumamosi ili tu kutaka sifa kwa bosi/muajiri wangu.
 
Nilishangaa sana baada ya kuskia mkuu wa shule ni boss na anaweza amka siku akawafokea kuanzia wanafunzi mpaka waalimu.

ilibaki kidogo tu niwe mwalimu, nisingeweza, hakuna extraduty na overtime then nikae ofisini duh ningehamishwa mnoo hata huko porini wasingekubali kabisa.
 
Habari!
Kila mwajiriwa anamjua mwajiri wake, hata walimu bila mashaka wanamfahamu mwajiri wao. Nadhani wengi wako chini ya wakurugenzi wa halmashauri wanazofanyia kazi.
Sheria za kazi ziko wazi kabisa, kuwa masaa ya kazi ni 8 , na mtu akifanya ziada alipwe ziada.
Je, walimu wa zamu ambao huwa wa mwisho kuondoka shuleni, wengine mpaka usiku huwazungukia wanafunzi especially shule za bweni, walimu wanaofanya kazi zingine za ziada wamewahi kuandika dokezo la kuomba pesa ya muda wa ziada na kunyimwa?
Niwakumbushe tu walimu , kwamba overtime allowance ni haki ya kila mfanyakazi duniani bila kujali kitengo chake, ila lazima mtambue kuwa kila mwajiri malengo yake ni kusave pesa ili ikamsaidie kutatua tatizo jingine ndani ya ofisi yake. Hivyo basi kudai maslahi ni vita sehemu yoyote. Hata huku kwenye mashirika ya umma tumepambana mpaka sasa kila mwajiri anayekuja anakuta tamaduni za kulipa nauli, lunch, overtime ni za kawaida na hana uwezo wa kuzuia hata kama hapendezwi na hiyo mifumo.
Kwa vitisho wanavyopata walimu watathubutu kuomba hiyo allowance, sanasana watatoa wao si unaona mwenge ukipita wanatolewa upepo
 
Kabla ya kufanya masaa ya ziada unatakiwa uwe na kibali cha kufanya masaa ya ziada kutoka kwa mwajiri. Kinyume na hapo hakuna malipo.

Mbali na hapo, kazi inayofanywa katika huo muda wa ziada ni lazima iwe haiwezekani kungojea muda wa masaa ya kazi siku inayofuata.

Kwa muundo wa ajira ya ualimu na nature ya kazi yenyewe swala hilo la extra duty ni kama haliwezekani.

Kwahiyo kama mwalimu ameamua kujitolea muda wa ziada hakuna malipo hapo.

NB: shule ikifunga wanaofunga ni wanafunzi sio waalimu, likizo ya mwalimu ni siku 28 kwa mwaka kama watumishi wengine wa umma. Kama shule imefunga na wewe mwalimu hauko likizo unapaswa kupiga kazi kama kawaida.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilijua tu Mr ticha utakuja tu, maana una phobia na walimu,mgogo on loose again,in job's Ndugai lineage kumbuka hata Mr Job alisoma ualimu pale udsm,unamdhalilisha mgogo mwenzako, au ndiyo mna mafaili yenu kule milembe mental health hospital [emoji24][emoji24]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilijua tu Mr ticha utakuja tu, maana una phobia na walimu,mgogo on loose again,in job's Ndugai lineage kumbuka hata Mr Job alisoma ualimu pale udsm,unamdhalilisha mgogo mwenzako, au ndiyo mna mafaili yenu kule milembe mental health hospital [emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom