johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hadi sasa kumbukumbu zinaonesha ni Mchungaji Mtikila peke yake ndio aliipigania Tanganyika kutoka moyoni
Natamani sana Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud angekuwa ni Mtanganyika yule Mwamba hana Bei mgongoni
Na kiukweli watakaoamua Tanganyika irejee ama la ni Wazanzibar
Ahsanteni Sana 😂😂🔥
Natamani sana Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud angekuwa ni Mtanganyika yule Mwamba hana Bei mgongoni
Na kiukweli watakaoamua Tanganyika irejee ama la ni Wazanzibar
Ahsanteni Sana 😂😂🔥