Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Habari za jioni
Wazazi wengi wa zamani hujisifu sana mbele ya watoto wao kwamba walikuwaga na akili sana darasani na walikuwa wanaongoza. Sijawahi kuona au kusikia mzazi yeyote akimwambia mtoto kuwa yeye alikuwa kilaza darasani.
Swali: Kuna mtu hapa ambaye mzazi wake anasema alikuwa kilaza? kama hayupo Shule zilitumia utaratibu gani ambao ulifanya wote washike nafasi yakwanza? Kwanini utaratibu huo usitumike sasahivi ili wanafunzi wote wawe wakwanza kama wazee wetu wa zamani?
Kwahisani ya #BashiteLager (Haiuzwi kwa watoto chini ya miaka 18, wanapewa bure tu)
Wazazi wengi wa zamani hujisifu sana mbele ya watoto wao kwamba walikuwaga na akili sana darasani na walikuwa wanaongoza. Sijawahi kuona au kusikia mzazi yeyote akimwambia mtoto kuwa yeye alikuwa kilaza darasani.
Swali: Kuna mtu hapa ambaye mzazi wake anasema alikuwa kilaza? kama hayupo Shule zilitumia utaratibu gani ambao ulifanya wote washike nafasi yakwanza? Kwanini utaratibu huo usitumike sasahivi ili wanafunzi wote wawe wakwanza kama wazee wetu wa zamani?
Kwahisani ya #BashiteLager (Haiuzwi kwa watoto chini ya miaka 18, wanapewa bure tu)