Hivi kuna Mzazi anayeamini anamsomesha mtoto wake Ili aje aajiriwe Serikalini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nauliza tu maana fikra za wazazi zinatofautiana

Yaani kabisa unamwaminisha mwanao akimaliza Chuo Kikuu atapata Ajira Serikalini?

I wish you a Merry Christmas πŸ˜€
 
Kutaka kujua mwenye akili timamu na asiye nazo, ni vigumu sana. Ingependeza kwanza mtu akajiuliza mwenyewe jee ana akili timamu, kabla hajatupa swali au kuwauliza waru wa SCAN akili zao.

Unapomsomesha mwanao unataka apate elimu ile awe mtu wa busara na aweza kujijenga kimaisha, au una malengo apate Ajira tuu na hiyo ajira lazima iwe pahali fulani.

Mimi napenda wanangu wawe na elimu nzuri, wawe binadamu wakuishi na wenzao vizuri, wawe wabunifu wenye jitihada na waaminifu, wawe watu wenye utu na msaada kwa Jamie.
 
Hili nalo tukalitazame.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Nauliza tu maana fikra za wazazi zinatofautiana

Yaani kabisa unamwaminisha mwanao akimaliza Chuo Kikuu atapata Ajira Serikalini?

I wish you a Merry Christmas [emoji3]
Watumishi wa umma wanastaafu
 
Foleni isiyotembea usiikomalie.
Nomataizesheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…